• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 27, 2022

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel
Features Middle East

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Mamlaka ya Palestina (PA) na Al Jazeera wameshutumu vikosi vya Israeli kwa kumuua Shireen Abu Akleh mnamo Mei 11 alipokuwa akiripoti operesheni ya Israeli katika mji wa Jenin, Ukingo wa Magharibi.

CCM yawaonya wanaoneza fitina
Africa East Africa

CCM yawaonya wanaoneza fitina

Asia GambaMay 27, 2022May 27, 2022

Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo, amewaonya viongozi waliopewa dhamana na chama hicho, kuacha kueneza fitina na majungu dhidi ya wengine wakati wa uchaguzi wa ndani.

Watumishi wa Umma nchini Tanzania waongezewa posho za safari.
Africa East Africa

Watumishi wa Umma nchini Tanzania waongezewa posho za safari.

Asia GambaMay 27, 2022May 27, 2022

Taarifa hiyo imetolewa leo Ijumaa Mei 27, 2022 na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dk Laurean Ndumbaro.

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao
Africa Features Politics

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria
Africa Features Politics

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Nigeria itakwenda uchaguzini Februari 2023 kumchagua mrithi wa Rais Muhammadu Buhari ambaye ataondoka uongozini baada ya kuhudumu kwa mihula miwili.

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso
Africa Features Politics

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11
Africa Features

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall amemfuta kazi waziri wake wa afya siku ya Alhamisi nchi hiyo ikiomboleza kifo cha watoto 11 katika moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme hospitalini

Waziri Majaliwa awataka wananchi wa Ngorongoro nchini Tanzania kutosikiliza maneno ya pembeni kwa kuwa Serikali haina nia mbaya.
Africa East Africa

Waziri Majaliwa awataka wananchi wa Ngorongoro nchini Tanzania kutosikiliza maneno ya pembeni kwa kuwa Serikali haina nia mbaya.

Asia GambaMay 27, 2022May 27, 2022

Kadhalika alisema serikali inaendelea kuimarisha sekta ya mifugo ili kuhakikisha wafugaji wote nchini wanapata tija kupitia shughuli hiyo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo