• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: May 2022

Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Africa Features Politics

Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Kulingana na UN mapigano ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009.

Mlinzi mmoja nchini Tanzania amemuua raia kwa kumpiga risasi kisha yeye kutokomea
Africa East Africa

Mlinzi mmoja nchini Tanzania amemuua raia kwa kumpiga risasi kisha yeye kutokomea

Asia GambaMay 23, 2022May 23, 2022

Mkazi wa kijiji cha Dulisi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Hamisi Mayunga (27) amedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi kifuani na Mlinzi wa Kampuni ya Sam Security, Chacha Emmanuel, ambaye analinda ndani ya mgodi wa madini ya Almasi wa El-Hilali uliopo wilayani Kishapu.

CHADEMA na safari ya maridhiano nchini Tanzania
Africa East Africa

CHADEMA na safari ya maridhiano nchini Tanzania

Asia GambaMay 23, 2022May 23, 2022

Kauli hiyo imekuja wakati kukiwa na maoni tofauti kutoka kwa baadhi ya wanachama na wapenzi wa chama hicho wakihoji sababu ya chama hicho kufanya mazungumzo na CCM wakiongozwa na Rais Samia Ikulu ya Chamwino Dodoma Mei 21.

Ghana: Wafanyabiashara wa ngono waongeza bei baada ya mgogogro wa kiuchumi kuathiri nchi
Africa Features Lifestyle & Health

Ghana: Wafanyabiashara wa ngono waongeza bei baada ya mgogogro wa kiuchumi kuathiri nchi

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Hadi hivi majuzi, wengi wao wanasema walikuwa wakitoza dola 7 kwa kikao kifupi kinachochukua kati ya dakika 15-20 na dola 40 kwa usiku mzima.

Kyiv court convicts Russian of war crimes
Asia International People Politics

Kyiv court convicts Russian of war crimes

Leah NgariMay 23, 2022May 23, 2022

“I was nervous about what was going on. I didn’t want to kill.” ~ Russian serviceman, Vadim Shishimarin.

Vimbwanga vya wabunge wa Tanzania,Wengine walia na wengine waruka sarakasi bungeni
Africa East Africa

Vimbwanga vya wabunge wa Tanzania,Wengine walia na wengine waruka sarakasi bungeni

Asia GambaMay 23, 2022May 23, 2022

Kizaazaa  kiliibuka bungeni baada ya wabunge waliokuwa wakichangia kufanya matukio yasiyo ya kawaida kuonesha kusikitishwa na utekelezaji wa miradi. 

Mafuriko mapya yakumba Afrika Kusini
Africa Environment Features Nature

Mafuriko mapya yakumba Afrika Kusini

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.

Mkuu wa Umoja wa Afrika atangaza ziara mjini Moscow, Kyiv
Africa Features People Politics

Mkuu wa Umoja wa Afrika atangaza ziara mjini Moscow, Kyiv

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall alisema atasafiri hadi Urusi na Ukraine hivi karibuni kwa niaba ya Umoja wa Afrika,kama rais wa muungano huo.

Mawakili wa serikali ya Congo wagoma baada ya miaka 7 bila malipo
Africa East Africa Features

Mawakili wa serikali ya Congo wagoma baada ya miaka 7 bila malipo

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Mawakili wa serikali katika Jamhuri ya Congo wameamua kuacha kuiwakilisha serikali mahakamani baada ya kutopokea malipo kwa miaka saba

Waandishi 60 wateuliwa kuwania tuzo za EJAT
Africa East Africa

Waandishi 60 wateuliwa kuwania tuzo za EJAT

Asia GambaMay 20, 2022May 20, 2022

Tuzo hizo zimepangwa kufanyika Mei 28, 2022 katika ukumbi wa Hoteli ya Serena, Dar es Salaam

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo