Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Kulingana na UN mapigano ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009.
Kulingana na UN mapigano ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009.
Mkazi wa kijiji cha Dulisi wilayani Kishapu mkoani Shinyanga, Hamisi Mayunga (27) amedaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi kifuani na Mlinzi wa Kampuni ya Sam Security, Chacha Emmanuel, ambaye analinda ndani ya mgodi wa madini ya Almasi wa El-Hilali uliopo wilayani Kishapu.
Kauli hiyo imekuja wakati kukiwa na maoni tofauti kutoka kwa baadhi ya wanachama na wapenzi wa chama hicho wakihoji sababu ya chama hicho kufanya mazungumzo na CCM wakiongozwa na Rais Samia Ikulu ya Chamwino Dodoma Mei 21.
Hadi hivi majuzi, wengi wao wanasema walikuwa wakitoza dola 7 kwa kikao kifupi kinachochukua kati ya dakika 15-20 na dola 40 kwa usiku mzima.
“I was nervous about what was going on. I didn’t want to kill.” ~ Russian serviceman, Vadim Shishimarin.
Kizaazaa kiliibuka bungeni baada ya wabunge waliokuwa wakichangia kufanya matukio yasiyo ya kawaida kuonesha kusikitishwa na utekelezaji wa miradi.
Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.
Rais wa Senegal Macky Sall alisema atasafiri hadi Urusi na Ukraine hivi karibuni kwa niaba ya Umoja wa Afrika,kama rais wa muungano huo.
Mawakili wa serikali katika Jamhuri ya Congo wameamua kuacha kuiwakilisha serikali mahakamani baada ya kutopokea malipo kwa miaka saba
Tuzo hizo zimepangwa kufanyika Mei 28, 2022 katika ukumbi wa Hoteli ya Serena, Dar es Salaam