• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: June 3, 2022

Tarehe muhimu katika miaka 70 ya uongozi wa Malkia Elizabeth II
Europe Features International People

Tarehe muhimu katika miaka 70 ya uongozi wa Malkia Elizabeth II

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Mnamo Februari 6, Malkia Elizabeth II anakuwa kiongozi wa kwanza katika historia ya Uingereza kutawala kwa miaka 70.

“Ushindi utakuwa wetu” Zelensky asema, siku 100 baada ya uvamizi wa Urusi
Europe Features

“Ushindi utakuwa wetu” Zelensky asema, siku 100 baada ya uvamizi wa Urusi

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Katika siku ya 100 ya uvamizi wa Urusi, mapigano yanaendelea katika eneo la mashariki, ambapo vikosi vya Moscow vinaimarisha udhibiti wake katika eneo la Donbas la Ukraine.

Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano
Africa Features Politics

Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano

Maureen MedzaJune 3, 2022June 3, 2022

Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.

TAKUKURU nchini Tanzania yamshikilia Muuguzi anaedaiwa kusafirisha kilo 174.77 za dawa za kulevya 
Africa East Africa

TAKUKURU nchini Tanzania yamshikilia Muuguzi anaedaiwa kusafirisha kilo 174.77 za dawa za kulevya 

Asia GambaJune 3, 2022June 3, 2022

Akizungumza na waadishi wa habar leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Florence Khambi, amesema kufuatia upekuzi uliofanyika nyumbani kwa mtuhumiwa, paketi 162 zenye unga uliodhaniwa kuwa ni dawa za kulevya zilikutwa ndani ya viroba sita vilivyokuwa vimehifadhiwa chumbani kwa mtuhumiwa.

Waliojifanya maofisa wa Ikulu nchini Tanzania wakamatwa
Africa East Africa

Waliojifanya maofisa wa Ikulu nchini Tanzania wakamatwa

Asia GambaJune 3, 2022June 3, 2022

Watuhumiwa hao ni Emmanuel John (38), mfanyabiashara na mkazi wa Dar es Salaam, Stanley George (34), mbeba mizigo na mkazi wa Temeke, Dar es Salaam pamoja na Mussa Nasoro (35) Dereva na Mkazi wa Mbagala Dar es Salaam.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo