• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: June 2022

Lukaku ‘very happy’ as he arrives in Milan ahead of Inter return
Sports

Lukaku ‘very happy’ as he arrives in Milan ahead of Inter return

Aska MakoriJune 29, 2022June 29, 2022

Chelsea agreed to a reported deal in which Inter will pay an initial eight million euros ($8.42 million) plus a further potential three million euros in bonuses for the loan.

Misri yamhukumu kifo mwanamume mmoja kwa tuhuma za mauaji
Africa Features Gender

Misri yamhukumu kifo mwanamume mmoja kwa tuhuma za mauaji

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Mahakama ya Misri ilimhukumu kifo mwanamume mmoja kwa mauaji ya mwanafunzi ambaye alikataa ombi la kuwa katika uhusiano nae,

Ghana: Polisi wafyatua vitoza machozi kutawanya maandamano ya kupinga gharama za maisha
Africa Features People Politics

Ghana: Polisi wafyatua vitoza machozi kutawanya maandamano ya kupinga gharama za maisha

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Ghna inakabiliwa na mdororo wa kiuchumi uliochochewa na janga la corona na athari za vita vya Urusi nchini Ukraine, limeshuhudia mfumuko wa bei ukiongezeka hadi zaidi ya asilimia 27

Afrika Kusini yasambaza umeme kwa mgao kwa viwango vya chini zaidi
Africa Features

Afrika Kusini yasambaza umeme kwa mgao kwa viwango vya chini zaidi

Maureen MedzaJune 29, 2022June 29, 2022

Afrika Kusini iliweka mgao mgumu zaidi wa umeme katika kipindi cha miaka miwili na nusu baada ya mizozo ya wafanyakazi kutatiza uzalishaji katika mitambo kadhaa.

Raia zaidi ya 360,000 wameuawa ndani ya mwezi mmoja nchini Syria
Africa

Raia zaidi ya 360,000 wameuawa ndani ya mwezi mmoja nchini Syria

Asia GambaJune 29, 2022June 29, 2022

Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu Michelle Bachelet amesema idadi ya vifo nchini Syria katika kipindi cha miaka 10 ni takriban asilimia 1.5 ya idadi ya watu wa taifa hilo. 

Tanzania yabariki hoja ya kuwatambua na kusamehe walipa kodi mahiri
Africa East Africa

Tanzania yabariki hoja ya kuwatambua na kusamehe walipa kodi mahiri

Asia GambaJune 29, 2022June 29, 2022

Akizungumza bungeni jijini hapa jana, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, alisema serikali imezingatia dalili zote za walakini kabla ya kuupa baraka msimamo wake huo.

Polisi Dar yawashikilia watu 23 kwa tuhuma za utapeli na kufanya biashara ya ngono
Africa East Africa

Polisi Dar yawashikilia watu 23 kwa tuhuma za utapeli na kufanya biashara ya ngono

Asia GambaJune 28, 2022June 28, 2022

Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema waliokamatwa ni  watuhumiwa waliokuwa wakijifanya wakuu wa shule, waganga wa kienyeji, ndugu wa waathirika, wahudumu wa makampuni ya simu au mawakala wa Freemason.

UN yatoa wito wa dharura wa dola milioni 110 kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Afghanistan
International Natural disasters

UN yatoa wito wa dharura wa dola milioni 110 kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Afghanistan

Maureen MedzaJune 28, 2022July 2, 2024

Tetemeko la kipimo cha 5.9 lilipiga jimbo la Paktika mashariki mwa nchi, na kuua zaidi ya watu 1,000 na kuwaacha makumi kwa maelfu bila makazi.

Nigeria yaidhinisha ubebeji wa bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi
Africa Features Politics

Nigeria yaidhinisha ubebeji wa bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi

Maureen MedzaJune 28, 2022June 28, 2022

Jimbo la Zamfara kaskazini mwa Nigeria litaruhusu watu kubeba bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi wenye silaha baada ya mamlaka kushindwa kuzuia ongezeko la utekaji nyara na mauaji.

Tunisia’s former premier Jebali released from custody: lawyer
Africa Politics

Tunisia’s former premier Jebali released from custody: lawyer

Aska MakoriJune 28, 2022July 2, 2024

Jebali was arrested Thursday in Sousse, a coastal city south of the capital Tunis, on charges of money laundering in connection with transfers of foreign funds to a charity in Tunisia, according to the interior ministry.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo