• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 6, 2022

Kenya yafuta kesi ya ufisadi dhidi ya kinara wa soka Nick Mwendwa 
Sports

Kenya yafuta kesi ya ufisadi dhidi ya kinara wa soka Nick Mwendwa 

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Mwendwa alikamatwa Novemba baada ya serikali ya Kenya kuvunja Shirikisho la Soka la Kenya (FKF) na kuunda kamati ya muda ya kusimamia soka kwa madai ya ubadhirifu wa kifedha wakati wa uongozi wake.

Mashauri kushughulikiwa saa 24 kupunguza msongamano wa kesi.
Africa East Africa

Mashauri kushughulikiwa saa 24 kupunguza msongamano wa kesi.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Hayo yamesemwa leo na Mkuu wa Kitengo cha Maboresho ya Mahakama, Dk. Angelo Rumisha wakati Benki ya Dunia ilipotembelea banda la mahakama katika maonesho ya 46 ya Sabasaba, Dar es Salaam.

Bei ya mafuta yapanda nchini Ethiopia huku ruzuku zikipungua
Africa East Africa

Bei ya mafuta yapanda nchini Ethiopia huku ruzuku zikipungua

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Bei ya petroli kwenye pampu ilipanda karibu asilimia 30 hadi 48.83 huku dizeli ikipanda karibu asilimia 40 hadi 49.02 chini ya sheria mpya ya bei ambayo itaanza Agosti 6.

Sri Lanka yaiomba Urusi kutoa mafuta na kuanza tena safari za ndege za watalii kusaidia nchi hiyo.
Africa East Africa

Sri Lanka yaiomba Urusi kutoa mafuta na kuanza tena safari za ndege za watalii kusaidia nchi hiyo.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Taifa hilo la kisiwa limekumbwa na ukosefu wa umeme kwa miezi kadhaa, mfumuko wa bei uliokithiri na uhaba mkubwa wa chakula na petroli baada ya kukosa fedha za kigeni kufadhili uagizaji bidhaa kutoka nje.

Aliyeua watu sita wa familia moja akamatwa mkoani Kigoma
Africa East Africa

Aliyeua watu sita wa familia moja akamatwa mkoani Kigoma

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Akitoa taarifa hiyo leo, Julai 6, 2022, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi nchini, Liberatus Sabas amesema jeshi hilo limejiridhisha bila kuona shaka kuwa mtu huyo ndiye amefanya mauaji peke yake.

Gunmen attack Nigerian presidential advance team
Africa

Gunmen attack Nigerian presidential advance team

Aska MakoriJuly 6, 2022July 6, 2022

Buhari was not in the convoy when gunmen ambushed the vehicles late Tuesday, injuring two people, but the attack underscored Nigeria’s precarious security situation.

UK PM Johnson faces parliamentary inquisition after top ministers quit
Europe

UK PM Johnson faces parliamentary inquisition after top ministers quit

Aska MakoriJuly 6, 2022July 6, 2022

The exits of Sunak and Javid were announced minutes after the prime minister apologized for appointing a senior Conservative, who quit last week after he was accused of drunkenly groping two men.

Vijana 21 waliofariki kwenye mkanyagano nchini Afrika Kusini kuagwa leo
Africa East Africa

Vijana 21 waliofariki kwenye mkanyagano nchini Afrika Kusini kuagwa leo

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Rais Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuhutubia ibada ya kumbukumbu ya wahasiriwa katika uwanja wa michezo katika kitongoji cha Scenery Park katika jiji la pwani la London Mashariki.

Palestinian killed during Israeli raid in West Bank
Asia People

Palestinian killed during Israeli raid in West Bank

Aska MakoriJuly 6, 2022July 6, 2022

Nineteen people, mostly Israeli civilians inside Israel, have been killed mainly in attacks carried out by Palestinians and Israeli Arabs. Three Arab Israeli attackers have also been killed.

Kiswahili sasa rasmi nchini Uganda
Africa East Africa

Kiswahili sasa rasmi nchini Uganda

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Kiswahili, ambacho asili yake ni Afrika Mashariki, ni mojawapo ya lugha 10 zinazozungumzwa na watu wengi zaidi duniani ikiwa na wazungumzaji takriban milioni 200.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo