• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 14, 2022

Tanzania yapokea chanjo nyingine za UVIKO-19
Africa East Africa

Tanzania yapokea chanjo nyingine za UVIKO-19

Asia GambaJuly 14, 2022July 14, 2022

Chanjo hizo zinapokelewa wakati mpaka kufikia Julai 12, 2022 Watanzania 10,511,804 walikuwa wamekamilisha dozi ya Uviko-19 huku Tanzania ikiwa imepokea jumla ya dozi 21,226,520.

Omanyala apata visa dakika za mwisho ili kushiriki mbio za World Athletics Championships
East Africa Features Sports

Omanyala apata visa dakika za mwisho ili kushiriki mbio za World Athletics Championships

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Omanyala — mwanamume wa tatu mwenye kasi zaidi duniani msimu huu atapumzika kwa saa chache tu kabla kushiriki katika mbio za mita 100 zinazoanza Ijumaa huko Eugene, Oregon.

Sudan: Mwanamke, 20, kupigwa mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi
Africa Features Gender

Sudan: Mwanamke, 20, kupigwa mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Mara ya mwisho kwa mwanamke kuhukumiwa kifo kwa kupigwa mawe kwa kosa la uzinzi nchini Sudan ilikuwa mwaka wa 2013

Meya wa Ufilipino awaamuru wafanyikazi wa umma ‘watabasamu’ au watozwe faini
Asia Features Politics

Meya wa Ufilipino awaamuru wafanyikazi wa umma ‘watabasamu’ au watozwe faini

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Meya wa Ufilipino amewaamuru watumishi wa umma kutabasamu, au huenda wakatozwa faini, huku akijaribu kuboresha kiwango cha huduma zinazotolewa na serikali ya eneo hilo

Nape:Mapitio ya Sheria,Sera za Habari yanaendelea.
Africa East Africa

Nape:Mapitio ya Sheria,Sera za Habari yanaendelea.

Asia GambaJuly 14, 2022July 14, 2022

Amesema ili kuhakikisha mazingira hayo yanaimarika, tayari mchakato wa kupitia Sheria, Kanuni na Sera ya Habari umeanza na unaendelea vizuri.

Jaji Mkuu: Tumieni usuluhishi kupunguza migogoro
Africa East Africa

Jaji Mkuu: Tumieni usuluhishi kupunguza migogoro

Asia GambaJuly 14, 2022July 14, 2022

Alitaka watumishi wa kituo hicho kupatiwa mafunzo ili kuweza kuongeza uelewa zaidi juu ya suala hilo, ambapo Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapher Siyani aliahidi kulifanyia kazi.

Nairobi yatajwa miongoni mwa maeneo 50 bora zaidi Duniani kwa mwaka 2022 na Jarida la Time
Arts & Culture East Africa Features

Nairobi yatajwa miongoni mwa maeneo 50 bora zaidi Duniani kwa mwaka 2022 na Jarida la Time

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Mji mkuu wa Kenya Nairobi umetajwa katika orodha ya World’s Greatest Places 2022 iliyotolewa na Jarida la Time.

One dead in attack on Chinese-owned firm in DR Congo
Africa Asia

One dead in attack on Chinese-owned firm in DR Congo

Aska MakoriJuly 14, 2022July 14, 2022

The provincial interior ministry confirmed that an attack had taken place, and said it had occurred in the early hours of Wednesday morning.

Wahamiaji wa Melilla huenda walikufa kwa ‘kukosa hewa’: uchunguzi wa Morocco
Africa Features

Wahamiaji wa Melilla huenda walikufa kwa ‘kukosa hewa’: uchunguzi wa Morocco

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Takriban wahamiaji 23 ambao walikufa mwezi uliopita katika jaribio la kuingia katika eneo la Uhispania la Melilla kutoka Morocco huenda “walikosa hewa,’ shirika la kutetea haki za binadamu la CNDH lilisema.

Gambian ex-spies sentenced to death for Jammeh-era murder
Africa

Gambian ex-spies sentenced to death for Jammeh-era murder

Aska MakoriJuly 14, 2022July 14, 2022

Sandeng was arrested during an April 2016 demonstration against Jammeh. He died in custody two days later after having been beaten and tortured.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo