• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: August 1, 2022

Watu wawili wamefariki kwenye maandamano ya kupinga gharama kubwa za umeme nchini Afrika Kusini.
Africa East Africa

Watu wawili wamefariki kwenye maandamano ya kupinga gharama kubwa za umeme nchini Afrika Kusini.

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Wakaazi waliokasirishwa na gharama ya juu ya huduma za kimsingi walifunga barabara kwa matairi yanayoungua na kuchoma moto jengo la manispaa katika kitongoji cha Thembisa kaskazini mashariki mwa kitovu cha kifedha cha Johannesburg.

Hakimu Ndeyekobora aondolewa kusikiliza kesi ya Mfalme Zumaridi
Africa East Africa

Hakimu Ndeyekobora aondolewa kusikiliza kesi ya Mfalme Zumaridi

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Kuondolewa kwa hakimu huyo huenda kukawa ni majibu ya maombi yaliyowasilishwa Julai 28,2022 na mshtakiwa namba moja katika shauri hilo Mfalme Zumaridi kupitia kwa mawakili wake wakimtaka, Ndyekobora kujiondoa kusikiliza shauri hilo kwa kile walichodai mteja wao hana imani naye huku hakimu huyo akiweka ngumu kujiondoa kwa kile alichodai maombi hayo hayana mashiko.

Baba ambaka na kumlawiti mtoto wake wa miaka 12 mara nne kwa siku tofauti
Africa East Africa

Baba ambaka na kumlawiti mtoto wake wa miaka 12 mara nne kwa siku tofauti

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Hassan ametiwa hatiani kwenye kesi hiyo namba 70/2021 na Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro katika hukumu iliyosomwa na Hakimu Charles Woiso.

DR Congo fires warning shots to disperse anti-UN protesters
Africa East Africa People Politics

DR Congo fires warning shots to disperse anti-UN protesters

Leah NgariAugust 1, 2022August 1, 2022

Congolese forces shot into the air and police fired tear gas to break up two columns of dozens of people in the eastern border city of Beni.

Truss wins UK cabinet backing as voting begins in PM contest
Europe International People Politics

Truss wins UK cabinet backing as voting begins in PM contest

Leah NgariAugust 1, 2022August 1, 2022

Truss’s lagging rival Rishi Sunak vied to make up lost ground with a plan for future tax cuts.

Senegal ruling coalition claims poll victory as opposition cries foul
Africa People Politics

Senegal ruling coalition claims poll victory as opposition cries foul

Leah NgariAugust 1, 2022August 1, 2022

“Cohabitation is inevitable. You lost this election at the national level. We will not accept it. This abuse will not pass,” said Dias, who is also the mayor of Dakar.

Mount Kenya: Where the next president could be chosen
Africa East Africa People Politics

Mount Kenya: Where the next president could be chosen

Mwanzo EditorAugust 1, 2022August 1, 2022

Mount Kenya is the sacred land of the Kikuyu, Kenya’s largest ethnic group, who believe that God lives in the snow-capped volcano they call Kirinyaga.

Ufilipino yaweka msisitizo wa kutojiunga tena ICC.
Africa East Africa

Ufilipino yaweka msisitizo wa kutojiunga tena ICC.

Asia GambaAugust 1, 2022August 1, 2022

Majaji wa ICC waliidhinisha uchunguzi kamili kuhusu kampeni ya kupambana na dawa za kulevya Septemba mwaka jana, wakisema inafanana na shambulio lisilo halali na la kimfumo dhidi ya raia

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo