• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: August 2022

Watu wenye silaha wawateka nyara watawa wa Kikatoliki nchini Nigeria
Africa

Watu wenye silaha wawateka nyara watawa wa Kikatoliki nchini Nigeria

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Utekaji nyara unaofanywa na magenge ya wahalifu hutokea mara kwa mara katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika, lakini katika wiki za hivi karibuni waumini wa makanisa ya Kikristo wamezidi kulengwa.

Mrema kuzikwa Agosti 25 kijijini kwao
Africa East Africa

Mrema kuzikwa Agosti 25 kijijini kwao

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mtoto wa Mrema, Michael Mrema Maziko hayo yatatanguliwa na ibada ya mazishi siku ya Jumatano itakayofanyika katika kanisa Katoliki Parokia ya Salasala kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Kilimanjaro. 

Wananchi wa Angola wachoshwa na chama tawala wakati nchi hiyo ikijiandaa kwa uchaguzi siku ya Jumatano.
Africa

Wananchi wa Angola wachoshwa na chama tawala wakati nchi hiyo ikijiandaa kwa uchaguzi siku ya Jumatano.

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Wananchi wengi wa Angola wamechoshwa na chama ambacho kimeshika madaraka tangu nchi hiyo ilipojinyakulia uhuru kutoka kwa wakoloni wa Ureno mwaka 1975.

Binti wa Mshauri wa Rais Putin afariki kwa kulipukiwa na bomu lililotegwa ndani ya gari
Africa

Binti wa Mshauri wa Rais Putin afariki kwa kulipukiwa na bomu lililotegwa ndani ya gari

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Kulingana na wanafamilia walionukuliwa na vyombo vya habari vya Urusi, Dugin mfuasi mkubwa wa mashambulizi ya Kremlin nchini Ukraine — ndiye aliyelengwa na mlipuko huo kwani binti yake aliazima gari lake dakika za mwisho.

Augustine Lyatonga Mrema Mwanasiasa aliyetamba kwenye ulingo wa siasa na kuacha gumzo kila mahali 
Africa East Africa

Augustine Lyatonga Mrema Mwanasiasa aliyetamba kwenye ulingo wa siasa na kuacha gumzo kila mahali 

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Mrema ambaye hivi sasa hayupo katika uso wa dunia kufuati kifo chake kilichotokea Agosti 21,2022 katika hospitali ya Taifa Muhimbili nchini Tanzania alipokuwa amelazwa akipokea matibabu atakumbukwa kwa mengi hasa katika nguvu yake ya kujenga hoja za kisiasa dhidi ya watawala wa nchi.

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga
East Africa

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga

Victor WanaswaAugust 20, 2022August 21, 2022

Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto
Kenya Politics

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto

Victor WanaswaAugust 19, 2022July 2, 2024

Mgombea mwenza wa  Azimio la Umoja Martha Karua amemkashifu rais mteule William Ruto kwa kile ametaja kama kwenda kinyume na sheria ya Kenya katika kuvutia upande wake vyama washirika wa Azimio la Umoja.

Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya NHIF wapewa siku 11 kuyalipa
Africa East Africa

Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya NHIF wapewa siku 11 kuyalipa

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Taarifa kwa umma iliyotolewa leo Agosti 19, 2022 na Kitengo cha uhusiano NHIF imeeleza kuwa hatua zitachukuliwa kwa waajiri ambao hawatakamilisha michango hiyo.

Waandamanaji wafyatuliwa mabomu ya machozi nchini Sudan
Africa East Africa

Waandamanaji wafyatuliwa mabomu ya machozi nchini Sudan

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Vikosi vya usalama vilifyatua mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji hao.

24 Year Old Woman Arrested Over ‘Shameful’ Dress Code
Africa

24 Year Old Woman Arrested Over ‘Shameful’ Dress Code

Joy CheptooAugust 19, 2022August 19, 2022

A 24-year-old woman identified as Liliane Mugabekazi, was arrested in Rwanda for wearing “shameful” clothing and faces up to two years in jail for “public indecency”.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo