• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 16, 2023

Maandamano makubwa yanayofanyika barani Afrika
Africa People Politics

Maandamano makubwa yanayofanyika barani Afrika

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Maandamano yaliyopangwa ya Azimio yanaambatana na angalau maonyesho mengine 4 ‘yanayofanana’ katika nchi 4 tofauti za Afrika

Wasoma Mita za maji nchini Tanzania wawekwa kikaangoni
Africa East Africa

Wasoma Mita za maji nchini Tanzania wawekwa kikaangoni

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewaonya wasoma mita za maji nchini kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi bili kubwa za maji kwani hatua hiyo inaichafua serikali jambo ambalo halitovumilika.

Rais Samia afanya teuzi nyingine
Africa East Africa

Rais Samia afanya teuzi nyingine

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa viongozi wote walioteuliwa katika nafasi mpya watajulishwa tarehe ya kuapishwa.

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani
East Africa Nature

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi

Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026 – Jenerali Muhoozi atangaza
East Africa People Politics

Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026 – Jenerali Muhoozi atangaza

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Kupitia mtandao wake wa Twitter, Muhoozi alisema hivi karibuni atachukua msimamo kuhusu suala hilo

Marekani yatishia kuipiga marufuku TikTok iwapo haitauzwa – ripoti
Asia Entertainment People

Marekani yatishia kuipiga marufuku TikTok iwapo haitauzwa – ripoti

Mwanzo EditorMarch 16, 2023March 16, 2023

Serikali ya Marekani inasema TikTok lazima iuzwe la sivyo ikabiliwe na uwezekano wa kupigwa marufuku nchini humo, kwa mujibu wa ripoti.

Kimbunga Freddy: Rais wa Malawi atangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 14
Africa International Nature People

Kimbunga Freddy: Rais wa Malawi atangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 14

Joan WafulaMarch 16, 2023March 16, 2023

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza siku kumi na nne za maombolezo ya kitaifa baada ya zaidi ya watu mia mbili ishirini kufariki dunia

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027
Football People Sports

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Infantino pia ametangaza makadirio ya mapato ya dola bilioni 11 katika miaka minne hadi 2026, ikilinganishwa na $ 7.5 bilioni katika mzunguko wa miaka minne uliomalizika mnamo 2022

Matumizi ya Kitimoto yapigwa marufuku huko Ludewa nchini Tanzania
Africa East Africa

Matumizi ya Kitimoto yapigwa marufuku huko Ludewa nchini Tanzania

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Kwa mujibu wa taarifa ya Daktari wa Mifugo wa wilaya hiyo Festo Mkomba imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya hivi karibuni kujitokeza baadhi ya matukio yanayosababishwa na ugonjwa huo hivyo kwa mujibu wa sheria ya mifugo namba 16(2), 17 ya mwaka 2003 imembidi kutangaza kusitishwa kwa huduma hizo kuanzia sasa mpaka hapo itakapo tangazwa tena.

NHIF yapewa siku 14 kukamilisha maboresho ya huduma ya Toto Afya Kadi
Africa East Africa

NHIF yapewa siku 14 kukamilisha maboresho ya huduma ya Toto Afya Kadi

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Taarifa iliyotolewa hivi karibuni kutoka NHIF, ilieleza kuwa mfuko huo unafanya maboresho ya usajili na huduma kwa watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya ‘Toto Afya Kadi’, na kutoweka bayana ni muda gani utachukua kukamilika kwa maboresho hayo.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo