Yanga Yafuzu Robo Fainali Ya Kombe La Shirikisho Afrika
Yanga imeandika Historia baada ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Kwa mara ya kwanza, mafanikio makubwa waliyokuwa nayo ilikuwa ni kuishia hatua ya makundi.
Yanga imeandika Historia baada ya kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Kwa mara ya kwanza, mafanikio makubwa waliyokuwa nayo ilikuwa ni kuishia hatua ya makundi.
Odinga alikuwa ameitisha maandamano ya Jumatatu jijini Nairobi kuhusu kupanda kwa mfumuko wa bei, ambao mwezi Februari ulifikia asilimia 9.2 mwaka hadi mwaka nchini Kenya
klabu ya Simba imefuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kulabua Horoya ya Guinea magoli 7-0
Msanii wa Nigeria na mshindi wa Tuzo za Grammy Burna Boy atatumbuiza katika sherehe za uzinduzi wa fainali za kuwania Kombe la Ligi ya championi ya UEFA mjini Istanbul, Turkey.
Wanatoroka mfululizo wa mashambulizi ya waasi wa Kiislamu wa Allied Democratic Forces (ADF) katika jimbo hilo.
Akizungumuza jana na waandishi wa habari akiwa ofisi ya Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Kardinali Pengo alisema amefanya hivyo kwani hakupata fursa hiyo wakati wa mazishi ya Dk Magufuli.
The illness was detected in “a total of seven people (with) symptoms including fever, vomiting, bleeding in various body parts and kidney failure
Maandamano yaliyopangwa ya Azimio yanaambatana na angalau maonyesho mengine 4 ‘yanayofanana’ katika nchi 4 tofauti za Afrika
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amewaonya wasoma mita za maji nchini kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi bili kubwa za maji kwani hatua hiyo inaichafua serikali jambo ambalo halitovumilika.
Aidha taarifa hiyo imeeleza kuwa viongozi wote walioteuliwa katika nafasi mpya watajulishwa tarehe ya kuapishwa.