Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani
Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi
Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi
Kupitia mtandao wake wa Twitter, Muhoozi alisema hivi karibuni atachukua msimamo kuhusu suala hilo
Serikali ya Marekani inasema TikTok lazima iuzwe la sivyo ikabiliwe na uwezekano wa kupigwa marufuku nchini humo, kwa mujibu wa ripoti.
Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza siku kumi na nne za maombolezo ya kitaifa baada ya zaidi ya watu mia mbili ishirini kufariki dunia
Infantino pia ametangaza makadirio ya mapato ya dola bilioni 11 katika miaka minne hadi 2026, ikilinganishwa na $ 7.5 bilioni katika mzunguko wa miaka minne uliomalizika mnamo 2022
Kwa mujibu wa taarifa ya Daktari wa Mifugo wa wilaya hiyo Festo Mkomba imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya hivi karibuni kujitokeza baadhi ya matukio yanayosababishwa na ugonjwa huo hivyo kwa mujibu wa sheria ya mifugo namba 16(2), 17 ya mwaka 2003 imembidi kutangaza kusitishwa kwa huduma hizo kuanzia sasa mpaka hapo itakapo tangazwa tena.
Taarifa iliyotolewa hivi karibuni kutoka NHIF, ilieleza kuwa mfuko huo unafanya maboresho ya usajili na huduma kwa watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya ‘Toto Afya Kadi’, na kutoweka bayana ni muda gani utachukua kukamilika kwa maboresho hayo.
Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, leo amewaambia wanahabari kwamba mashauri hayo ya ugaidi yamekwama kuendelea kwa zaidi ya miaka sita kutokana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kutokamilisha upelelezi wake.
Upande wa pikipiki zimetokea ajali kubwa 30 kwa kipindi hicho cha Januari hadi Desemba, 2022 zilizosababisha vifo vya watu 25 na kujeruhi watu 26
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa takwimu hizo huku akielezea kuwa hazifurahishi