• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Month: March 2023

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani
East Africa Nature

Bob Junior: Simba ambaye alikuwa ‘mfalme’ wa Serengeti auawa na wapinzani

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Serengeti kaskazini mwa Tanzania ni nyumbani kwa simba takriban 3,000, na ni maarufu kwa watalii wa ndani na nje ya nchi

Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026 – Jenerali Muhoozi atangaza
East Africa People Politics

Nimechoka kusubiri, nitagombea urais 2026 – Jenerali Muhoozi atangaza

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Kupitia mtandao wake wa Twitter, Muhoozi alisema hivi karibuni atachukua msimamo kuhusu suala hilo

Marekani yatishia kuipiga marufuku TikTok iwapo haitauzwa – ripoti
Asia Entertainment People

Marekani yatishia kuipiga marufuku TikTok iwapo haitauzwa – ripoti

Mwanzo EditorMarch 16, 2023March 16, 2023

Serikali ya Marekani inasema TikTok lazima iuzwe la sivyo ikabiliwe na uwezekano wa kupigwa marufuku nchini humo, kwa mujibu wa ripoti.

Kimbunga Freddy: Rais wa Malawi atangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 14
Africa International Nature People

Kimbunga Freddy: Rais wa Malawi atangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 14

Joan WafulaMarch 16, 2023March 16, 2023

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza siku kumi na nne za maombolezo ya kitaifa baada ya zaidi ya watu mia mbili ishirini kufariki dunia

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027
Football People Sports

Gianni Infantino amechaguliwa tena kuwa rais wa FIFA hadi 2027

Joy CheptooMarch 16, 2023March 16, 2023

Infantino pia ametangaza makadirio ya mapato ya dola bilioni 11 katika miaka minne hadi 2026, ikilinganishwa na $ 7.5 bilioni katika mzunguko wa miaka minne uliomalizika mnamo 2022

Matumizi ya Kitimoto yapigwa marufuku huko Ludewa nchini Tanzania
Africa East Africa

Matumizi ya Kitimoto yapigwa marufuku huko Ludewa nchini Tanzania

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Kwa mujibu wa taarifa ya Daktari wa Mifugo wa wilaya hiyo Festo Mkomba imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa baada ya hivi karibuni kujitokeza baadhi ya matukio yanayosababishwa na ugonjwa huo hivyo kwa mujibu wa sheria ya mifugo namba 16(2), 17 ya mwaka 2003 imembidi kutangaza kusitishwa kwa huduma hizo kuanzia sasa mpaka hapo itakapo tangazwa tena.

NHIF yapewa siku 14 kukamilisha maboresho ya huduma ya Toto Afya Kadi
Africa East Africa

NHIF yapewa siku 14 kukamilisha maboresho ya huduma ya Toto Afya Kadi

Asia GambaMarch 16, 2023March 16, 2023

Taarifa iliyotolewa hivi karibuni kutoka NHIF, ilieleza kuwa mfuko huo unafanya maboresho ya usajili na huduma kwa watoto waliokuwa wanasajiliwa kupitia utaratibu wa Bima ya Afya ya ‘Toto Afya Kadi’, na kutoweka bayana ni muda gani utachukua kukamilika kwa maboresho hayo.

LHRC kwenda kwa Rais Samia sakata la mashekhe wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi
Africa East Africa

LHRC kwenda kwa Rais Samia sakata la mashekhe wanaokabiliwa na kesi ya ugaidi

Asia GambaMarch 15, 2023March 15, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, leo amewaambia wanahabari kwamba  mashauri hayo ya ugaidi yamekwama kuendelea kwa zaidi ya miaka sita kutokana na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kutokamilisha upelelezi wake.

Mtu mmoja hufariki kwa ajali kila wiki jijini Mwanza nchini Tanzania 
East Africa People

Mtu mmoja hufariki kwa ajali kila wiki jijini Mwanza nchini Tanzania 

Joy CheptooMarch 14, 2023March 14, 2023

Upande wa pikipiki zimetokea ajali kubwa 30 kwa kipindi hicho cha Januari hadi Desemba, 2022 zilizosababisha vifo vya watu 25 na kujeruhi watu 26

Watu 4,000 wamefariki dunia kwa ajali za barabarani nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu
East Africa People

Watu 4,000 wamefariki dunia kwa ajali za barabarani nchini Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu

Asia GambaMarch 14, 2023March 14, 2023

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa takwimu hizo huku akielezea kuwa hazifurahishi

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo