• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: July 9, 2024

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo
Crime & Justice Tanzania

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo

Our CorrespondentJuly 9, 2024July 9, 2024

Mshitakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.

Rais wa Liberia apunguza mshahara wake kwa 40%
Africa Politics

Rais wa Liberia apunguza mshahara wake kwa 40%

Wadh KassimJuly 9, 2024August 7, 2024

Rais wa Liberia Joseph Boakai ametangaza kupunguza mshahara wake kwa asilimia arobaini (40%). Kwa mujibu wa ripoti kutoka ofisi ya…

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi
Crime & Justice Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.

Rais Ruto ametia saini Mswada wa Marekebisho ya Tume ya Uchaguzi IEBC 2024
Kenya Politics

Rais Ruto ametia saini Mswada wa Marekebisho ya Tume ya Uchaguzi IEBC 2024

Kevin SeweJuly 9, 2024August 7, 2024

Rais Kenya William Ruto leo Jumanne ametia saini kuwa sheria Mswada wa Marekebisho ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka,…

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo
Crime & Justice Tanzania

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa,  na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo