Miaka 48 ya CCM, yaendelea kushika dola
Chama tawala nchini Tanzania Chama cha Mapinduzi(CCM) leo kinaadhimisha miaka 48 ya kuzaliwa kwake huku kikijivunia kuendelea kushikilia dola nchini humo.
Chama tawala nchini Tanzania Chama cha Mapinduzi(CCM) leo kinaadhimisha miaka 48 ya kuzaliwa kwake huku kikijivunia kuendelea kushikilia dola nchini humo.
Kamati ya Bunge ya Miundombinu imesema matatizo ya kiusanifu ya injini za Airbus A220-300 ambazo zimekuwa zinapata hitilafu mara kwa mara, yanasababisha kukosa mapato wastani wa Sh. bilioni 127.3 kwa mwaka.
Trump amewataka wakaanze maisha mapya ya kudumu katika mataifa mengine ya Mashariki ya Kati kama Misri na Jordan.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyotolewa leo, bei ya petroli kwa rejareja katika Jiji la Dar es Salaam imeongezeka kwa asilimia 0.957, dizeli kwa asilimia 2.18 na mafuta ya taa kwa asilimia 1.25.
The UN Security Council gave the green light in October 2023 to the Multinational Security Support (MSS) mission designed to support Haiti’s authorities in their fight against criminal gangs, which control swaths of the country.
Mtukufu Aga Khan, anayefahamika kama Karim Al-Hussaini Aga Khan IV, alijulikana kwa mchango wake mkubwa katika kuboresha ustawi wa binadamu kupitia miradi mbalimbali duniani.
The Aga Khan, imam of the Ismaili Muslims and head of a major development aid foundation, died Tuesday in Lisbon at the age of 88, his foundation announced.
The agency said in a statement on its website that the staff leave will begin shortly before midnight on February 7 and will concern “all USAID direct hire personnel… with the exception of designated personnel responsible for mission-critical functions, core leadership and specially designated programs.”
Shelling by Sudanese paramilitaries killed five people outside one of the last functioning hospitals in Khartoum’s twin city Omdurman Tuesday, with medical sources reporting escalating violence across the war-torn country.