Mtalii mmoja mwenye asili ya China afariki kwa ajali katika Hifadhi ya Serengeti
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) leo Julai 29, 2024 gari hiyo ilikuwa na watalii saba wenye asili ya China na dereva raia wa Tanzania