• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

ACT -Wazalendo:Polisi waachieni viongozi wa CHADEMA bila masharti
East Africa Politics Tanzania

ACT -Wazalendo:Polisi waachieni viongozi wa CHADEMA bila masharti

Asia GambaAugust 12, 2024August 12, 2024

Chama cha ACT Wazalendo kimelaani na kukemea vikali vitisho vya Jeshi la Polisi na kukamatwa kwa viongozi wakuu wa CHADEMA na kuzuiwa kwa kongamano la vijana wa CHADEMA katika kuadhimisha siku ya vijana duniani iliyopangwa kufanyika leo Agosti 12, jijini Mbeya.

Utata kamatakamata ya viongozi wa Chadema nchini Tanzania
Politics Tanzania

Utata kamatakamata ya viongozi wa Chadema nchini Tanzania

Asia GambaAugust 12, 2024August 15, 2024

Jeshi la Polisi nchini Tanzania linawashikilia viongozi wakuu wa chama cha upinzani cha Chadema akiwemo Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, aliyekuwa mgombea urais Tundu Lissu, na kuwakusanya mamia ya wafuasi wa vijana wa chama hicho

Baba wa kijana aliyechoma picha ya Rais aomba kupatikana kwa mwanawe akiwa hai au mfu
East Africa Social Issues Tanzania

Baba wa kijana aliyechoma picha ya Rais aomba kupatikana kwa mwanawe akiwa hai au mfu

Asia GambaAugust 7, 2024August 7, 2024

Shadrack Chaula anadaiwa kutekwa Agosti 2, 2024 ikiwa ni takribani siku 20 kupita tangu alipotoka Gereza la Ruanda lililoko mkoani Mbeya.

Ngedere, bundi chanzo cha hitilafu ya umeme treni ya SGR
East Africa Social Issues Tanzania

Ngedere, bundi chanzo cha hitilafu ya umeme treni ya SGR

Asia GambaJuly 31, 2024August 5, 2024

Taarifa iliyotolewa leo July 31,2024 na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano – TRC, Jamila Mbarouck imesema hitilafu I lisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku

HRW:Tanzania yawahamisha maelfu ya Wamasai
East Africa Social Issues Tanzania

HRW:Tanzania yawahamisha maelfu ya Wamasai

Asia GambaJuly 31, 2024August 5, 2024

HRW ilisema iliwahoji karibu watu 100 kati ya Agosti 2022 na Desemba 2023, wakiwemo wanajamii ambao tayari walikuwa wamehamia kijiji cha Msomera huko Handeni na wengine wanaokabiliwa na uhamisho.

Vita ya Mpina, Bashe, Spika Tulia yazidi kukolea, afungua kesi tatu kuwashtaki
East Africa Politics Tanzania

Vita ya Mpina, Bashe, Spika Tulia yazidi kukolea, afungua kesi tatu kuwashtaki

Asia GambaJuly 30, 2024August 5, 2024

Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina akizungumza baada ya mawakili wake kueleza msingi wa kufungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, amesema kuwa zaidi ya mawakili 100 wameahidi kumuunga mkono katika kesi alizozifungua.

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji
Lifestyle & Health Social Issues Tanzania

BMH yapandikiza Uloto kwa mgonjwa wa Sikoseli mwenye kundi la damu tofauti na mchangiaji

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Utaalam huu unaojulikana kama Bone Marrow Manipulation- RBC Depletion ni utaalam unaofanywa na mashine maalum ( Apheresis machine) kwa kuchuja na kuchukua Uloto ulio kusudiwa kisha kumwekea mgonjwa ( kumpandikiza) uloto uliobakia. 

Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda
Crime & Justice Uganda

Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Mafuvu 17 ya watu waliofukiwa kwenye masanduku ya chuma yamefukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa madhabahu katikati mwa Uganda.

Wanachama 36 wa chama cha upinzani Uganda washtakiwa kwa ‘ugaidi’
Crime & Justice East Africa Uganda

Wanachama 36 wa chama cha upinzani Uganda washtakiwa kwa ‘ugaidi’

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Wanachama wa chama cha Forum for Democratic Change (FDC) walikamatwa nchini Kenya na kushtakiwa kwa kile wakili Erias Lukwago alichokiita “unyanyasaji” kwa utaratibu wa kisheria na mamlaka ya Uganda.

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi
Crime & Justice Tanzania

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, amesema kumekuwa na ushirikiano mdogo kwa waathiriwa wa utekaji pindi wanapohitajika na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kutoa ushirikiano utakaofanikisha upelelezi.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy