Africa Climate change Features

Jane Goodall: Mwanamke aliyewapa Sokwe sauti na kuigusa dunia

Goodall, aliyebobea katika utafiti wa sokwe pori na baadaye kuwa mwanaharakati wa mazingira, alibadilisha mapenzi yake ya wanyamapori kuwa kampeni ya maisha yote. Safari yake ilimtoa kutoka kijiji cha pwani kusini mwa Uingereza hadi Afrika, na hatimaye kumzungusha duniani kote akijitahidi kuelewa sokwe na nafasi ya binadamu katika kulinda makazi yao pamoja na afya ya sayari kwa ujumla.

East Africa Politics Tanzania

Lissu kumtumia Rais Samia kama shahidi katika kesi yake ya Uhaini

Miongoni mwa waliotajwa pia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camilius Wambura, Kamishna wa Polisi Ramadhani Kingai, na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa. Lissu pia amewataja viongozi wa kikanda wakiwemo Martha Karua, mwanasiasa na mwanaharakati kutoka Kenya, Boniface Mwangi, Mwanaharakati kutoka Kenya, Agatha Atuhaire, Mwanaharakati kutoka nchini Uganda na Dk. William Mutunga, Jaji Mkuu mstaafu wa Kenya.