• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa
East Africa People Social Issues Tanzania Uncategorized

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa

Asia GambaMarch 6, 2025

Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.

Tanzania yapokea Faru weupe kutoka Afrika Kusini
East Africa Tanzania Uncategorized

Tanzania yapokea Faru weupe kutoka Afrika Kusini

Asia GambaMarch 4, 2025

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mara ya kwanza imepokea Faru weupe 18  kutoka nchini Afrika Kusini kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi nchini.

Dkt Slaa aachiwa huru baada ya siku 48 rumande, atangaza kurudi Chadema
East Africa Politics Rights & Freedoms Tanzania

Dkt Slaa aachiwa huru baada ya siku 48 rumande, atangaza kurudi Chadema

Asia GambaFebruary 27, 2025

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemuachilia huru Dkt. Wilbord Slaa(76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo.

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC
Africa East Africa War & Conflicts

Miaka Mitatu ya Ukatili wa DRC Inahitaji Mahakama Maalum: Mwendesha Mashtaka wa ICC

Asia GambaFebruary 27, 2025February 28, 2025

Katika mahojiano  alipoitembelea Kinshasa, Mwendesha Mashtaka Khan alikubali kushindwa kwa mfumo wa haki za kimataifa kuzuia ukatili wa kutisha ambao umekuwepo kwa miongo kadhaa katika eneo hili na kusema kuwa yeye ni “ana masikitiko makubwa kuhusu kuongezeka kwa ghasia.”

ACT Wazalendo yalaani kukamatwa kwa M/kiti wa NETO, yataka aachiwe huru
East Africa Social Issues Tanzania Uncategorized

ACT Wazalendo yalaani kukamatwa kwa M/kiti wa NETO, yataka aachiwe huru

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali kukamatwa kwa ndugu Joseph Paulo Kaheza, Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), ambaye anashikiliwa na polisi mkoani Geita tangu jana Februari 24, 2025 

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi
Africa East Africa War & Conflicts

Waziri Mkuu wa DRC asema zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi

Asia GambaFebruary 25, 2025

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) alisema Jumatatu kwamba zaidi ya watu 7,000 wamefariki mashariki mwa nchi hiyo tangu mwezi Januari, wakati kundi la M23 lililokuwa likiungwa mkono na Rwanda lilipochukua miji miwili mikubwa.

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa
East Africa Education People Social Issues Tanzania

Mwenyekiti wa walimu wasio na ajira akamatwa

Asia GambaFebruary 25, 2025February 25, 2025

Mwenyekiti wa Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO), Joseph Paulo Kaheza amekamatwa akiwa mkoani Geita kwa kile kinachodaiwa kuwa ni vuguvugu la kupigania ajira kwa walimu wa Tanzania.

Rais wa Burundi afanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Africa Politics War & Conflicts

Rais wa Burundi afanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Asia GambaFebruary 24, 2025

Rais wa Burundi alielekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa mazungumzo na mwenyeji wake, Rais Felix Tshisekedi, kuhusu mgogoro unaoendelea mashariki mwa taifa hilo lenye eneo kubwa la Afrika ya Kati, vyanzo vingi vya habari vimesema.

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema
East Africa Politics Tanzania

Bulaya:Mimi bado ni mwanachama wa Chadema

Asia GambaFebruary 24, 2025

Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya amesisitiza kuwa yeye bado ni mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), isipokua suala la yeye kufukuzwa uanachama ni mambo ya ndani ya chama na ndio maana mpaka leo wanapigania haki yao ya kuwa wanachama wa Chadema.

Mkutano wa G20 wafanyika bila uwepo wa uwakilishi kutoka Marekani
Africa Development Europe

Mkutano wa G20 wafanyika bila uwepo wa uwakilishi kutoka Marekani

Asia GambaFebruary 20, 2025

Afrika Kusini, nchi ya kwanza ya Afrika kuongoza jukwaa hili, ilichukua urais wa G20 mwaka jana ikiwa ni hatua ya kutoa fursa kwa mataifa tajiri kuyasikiliza mataifa maskini.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo