• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Bilioni 7 kutumika kukarabati kivuko cha MV Magogoni
Africa East Africa

Bilioni 7 kutumika kukarabati kivuko cha MV Magogoni

Asia GambaFebruary 16, 2023February 16, 2023

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema, ukarabati wa Kivuko cha MV Magogoni ni juhudi na mikakati ya serikali katika kuboresha miundombinu mbalimbali ya usafirishaji nchini.

Mtuhumiwa wa mauaji adaiwa kujinyonga kwa kutumia nguo yake ya ndani akiwa mahabusu
Africa East Africa

Mtuhumiwa wa mauaji adaiwa kujinyonga kwa kutumia nguo yake ya ndani akiwa mahabusu

Asia GambaFebruary 16, 2023February 16, 2023

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Ali Makame, akitoa ufafanuzi kuhusu kifo hicho jana, alidai kuwa mtuhumiwa alichukua uamuzi huo akiwa mikononi mwa polisi, akituhumiwa kuhusika na mauaji na kukodi watu kwa ajili ya kutekeleza mauaji.

Nyuki wakatisha uhai wa mwalimu mkoani Kigoma.
Africa East Africa

Nyuki wakatisha uhai wa mwalimu mkoani Kigoma.

Asia GambaFebruary 15, 2023February 15, 2023

Tukio hilo limetokea Februari 13, 2023  katika eneo la mtaa wa Mwasenga, Manispaa ya Kigoma Ujiji, muda mfupi mara baada ya watoto waliokuwa wakitoka shule kurusha mawe juu ya mwembe huo na kusababisha nyuki kuzagaa na kumvamia mwalimu huyo na kumshambulia na hatimaye kupoteza maisha.

Jezi za Simba zakwama Ethiopia
Sports

Jezi za Simba zakwama Ethiopia

Asia GambaFebruary 15, 2023February 15, 2023

Akizungumza leo Februari 15, 2023 Ahmed Ally amesema jezi hizo zilianza kukwama nchini China hivyo zilifanyika juhudi za kusukuma mzigo huo ili kuachiwa kwa haraka na baada ya kuachiwa ukakwama tena Ethiopia.

Rais Samia kununua magoli ya Simba na Yanga
Sports

Rais Samia kununua magoli ya Simba na Yanga

Asia GambaFebruary 14, 2023February 14, 2023

Rais Samia Suluhu Hassan, ametangaza kununua kila goli litakalofungwa katika michezo ya kimataifa ya Simba na Yanga itakayochezwa mwishoni mwa wiki hii. 

Vitabu 16 vyapigwa marufuku kutumika katika shule nchini Tanzania
Africa East Africa

Vitabu 16 vyapigwa marufuku kutumika katika shule nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 14, 2023February 14, 2023

Vitabu hivyo16 vilivyopigwa marufuku vimekutwa katika baadhi ya shule si kama vitabu haya kiada wala ziada ambapo maudhii yake yanakizana na Mila, Desturi na Utamaduni wa Mtanzania na yanahatarisha ukuaji wa wanafunzi.

Kauli ya Mwigulu yamuweka pabaya
Africa East Africa

Kauli ya Mwigulu yamuweka pabaya

Asia GambaFebruary 9, 2023February 9, 2023

Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson ameamuru kufutwa katika taarifa rasmi za Bunge maneno aliyotamka Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba katika kikao cha pili cha mkutano wa 10 wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania wakati akichangia taarifa za kamati za kudumu za bunge za Ardhi, Maliasili na Utalii na kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira.

Tanzania na Marekani kushirikiana kibiashara kupitia Sekta binafsi
Africa East Africa

Tanzania na Marekani kushirikiana kibiashara kupitia Sekta binafsi

Asia GambaFebruary 7, 2023February 7, 2023

Serikali ya Tanzania imefungua milango ya ushirikiano wa kibiashara na kiuchumi kati ya Tanzania na Marekani kupitia Sekta Binafsi ili kuchochea biashara kupitia uwekezaji ikiwa ni utekelezaji wa mazungumzo kati ya Marais wa nchi hizo mbili yaliyofanyika hivi karibuni mjini Washington DC.

Jeshi la Polisi Tanzania lawaondoa hofu wananchi juu ya taarifa ya Ubalozi wa Marekani 
Africa East Africa

Jeshi la Polisi Tanzania lawaondoa hofu wananchi juu ya taarifa ya Ubalozi wa Marekani 

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Taarifa iliyotolewa leo January 26,2023 kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi imeeleza kuwa hali ya ulinzi na usalama ni shwari kwani matukio makubwa yanayoweza kuleta hofu kwa Wananchi yanaendelea kudhibitiwa.

EAC yazindua rasmi misheni ya utayari wa Somalia kujiunga na jumuiya hiyo.
Africa East Africa

EAC yazindua rasmi misheni ya utayari wa Somalia kujiunga na jumuiya hiyo.

Asia GambaJanuary 26, 2023January 26, 2023

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) jana imezindua rasmi misheni ya uhakiki ili kutathmini utayari wa ushirikiano wa Jamhuri ya Somalia kujiunga na Jumuiya hiyo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy