• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Ucheleweshaji wa tume huru wamtia wasiwasi Prof Lipumba
Africa East Africa

Ucheleweshaji wa tume huru wamtia wasiwasi Prof Lipumba

Asia GambaNovember 29, 2022November 29, 2022

Chama cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kimemuomba Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi yake ya kujenga maridhiano na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi, kwa kuhakikisha tume huru ya uchaguzi inapatikana kabla ya chaguzi zijazo. 

Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT adaiwa kujiua kwa kujipiga risasi
Africa East Africa

Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT adaiwa kujiua kwa kujipiga risasi

Asia GambaNovember 29, 2022November 29, 2022

Mlinzi wa kampuni ya Suma JKT, Osea Kashiririka (21) amefariki dunia baada ya kujipiga risasi sehemu ya shingo kwa kutumia bunduki.

Rais Samia:Siridhishwi na kasi ya uendeshaji wa miradi ya UWT
Africa East Africa

Rais Samia:Siridhishwi na kasi ya uendeshaji wa miradi ya UWT

Asia GambaNovember 28, 2022November 28, 2022

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza kutoridhishwa na kasi ya kujiunga kwa wanachama wa Jumuiya ya wanawake wa chama hicho (UWT) na uendeshaji wa miradi yake ya kiuchumi.

Makalla:Hakuna mgao wa ya Maji Dar
Africa East Africa

Makalla:Hakuna mgao wa ya Maji Dar

Asia GambaNovember 25, 2022November 25, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC), Amos Makalla ametangaza kuanzia sasa hakuna mgao wa maji ndani ya mkoa huo na kuitaka Mamlaka ya Majisafi na Mazingira Dar es Salaam (Dawasa) kuelekeza nguvu kuimarisha miundombinu na miradi mikubwa ikiwemo Mabwepande.

Ripoti ya ajali ya ndege iliyokanwa na Serikali ya Tanzania yafanania na ripoti rasmi iliyotolewa.
Africa East Africa

Ripoti ya ajali ya ndege iliyokanwa na Serikali ya Tanzania yafanania na ripoti rasmi iliyotolewa.

Asia GambaNovember 25, 2022November 25, 2022

Jana  Alhamsi Novemba 24, 2020 akisoma taarifa rasmi ya ripoti ya uchunguzi huo wa awali, Profesa Mbarawa amesema hali ya hewa ya Bukoba ilikuwa nzuri hadi Saa 2 na dakika 20 asubuhi, taarifa ambayo hivyohivyo imeonyesha katika ripoti iliyokanwa na Serikali 

TRC yatoa ufafanuzi mabehewa mapya ya reli ya kisasa
Africa East Africa

TRC yatoa ufafanuzi mabehewa mapya ya reli ya kisasa

Asia GambaNovember 24, 2022November 24, 2022

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema mabehewa yote yaliyoainishwa kuletwa kwa ajili ya treni ya Reli ya Kisasa (SGR) yatakuja na kwamba yaliyoanza kuingia nchini ni ya safari ndefu.

WHO /CDC:Takriban watoto milioni 40 wako katika hatari ya kushambuliwa na surua 
Africa East Africa

WHO /CDC:Takriban watoto milioni 40 wako katika hatari ya kushambuliwa na surua 

Asia GambaNovember 24, 2022November 24, 2022

Ripoti mpya iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na Atlanta Marekani na shirika la afya la Umoja wa Mataifa duniani WHO na kituo cha Marekani cha kudhibiti magonjwa CDC inaonyesha kuwa ugonjwa wa surua ni tishio lililo karibu duniani kote. 

Tanzania yaikana ripoti ya awali ya ajali ya ndege Bukoba
Africa East Africa

Tanzania yaikana ripoti ya awali ya ajali ya ndege Bukoba

Asia GambaNovember 24, 2022November 24, 2022

Taarifa ya kanusho juu ya ripoti hiyo ambayo imesambaa mitandaoni toka siku Jumanne November 22 na kuripotiwa na vyombo mbalimbali vya ndani na nje ya Tanzania imekuja jana Novemba 23, wakati tayari imeshaibua mjadala mzito juu ya ajali hiyo.

Ripoti:Kuna uzembe ulifanyika ajali ya ndege Bukoba
Africa East Africa

Ripoti:Kuna uzembe ulifanyika ajali ya ndege Bukoba

Asia GambaNovember 23, 2022November 23, 2022

Ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Shirika la Precision Air, ikibainisha udhaifu katika uokozi kwa kile alichofafanua Jeshi la Polisi Kitengo cha Wanamaji kilipewa taarifa dakika 15 baada ya tukio lakini hakikufika kwa wakati.

Bashe:Tanzania haina njaa
Africa East Africa

Bashe:Tanzania haina njaa

Asia GambaNovember 23, 2022November 23, 2022

Waziri wa Kilimo nchini Tanzania, Hussein Bashe, amekanusha uwepo wa baa la njaa nchini humo lakini amekiri kupanda kwa bei za mazao.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy