• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Watuhumiwa wa mauaji ya askari Ngorongoro waachiwa huru
Africa East Africa

Watuhumiwa wa mauaji ya askari Ngorongoro waachiwa huru

Asia GambaNovember 22, 2022November 22, 2022

Kesi hiyo ambayo leo Jumanne, Novemba 22, 2022 ilipangwa kwa ajili ya kutajwa ambapo kati ya washitakiwa hao 24, kumi ni madiwani pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ngorongoro, Nderango Laizer.

CHADEMA:Bila Katiba Mpya hakuna uchaguzi utakaofanyika 2024/2025
Africa East Africa

CHADEMA:Bila Katiba Mpya hakuna uchaguzi utakaofanyika 2024/2025

Asia GambaNovember 22, 2022November 22, 2022

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeweka msimamo wake wa kutofanyika uchaguzi mkuu wa 2025 wala uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024 iwapo hakutapatika Katiba mpya itakayoweka mifumo mizuri ya uchaguzi 

Rushwa yavuruga uchaguzi wa CCM
Africa East Africa

Rushwa yavuruga uchaguzi wa CCM

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefuta matokeo ya uchaguzi wa nafasi ya Mwenyekiti Umoja wa Vijana Mkoa wa Simiyu na kusimamisha mchakato wa uchaguzi wa wajumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho katika mikoa ya Mbeya na Arusha.

TCRA: Watumiaji wa fedha kwa njia ya mtandao wameongezeka
Africa East Africa

TCRA: Watumiaji wa fedha kwa njia ya mtandao wameongezeka

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Taarifa ya utendaji kazi ya Mamlaka hiyo kwa mwaka 2022/23 inaonyesha kuwa akaunti za pesa kwa simu za mkononi zimeongezeka na kufikia watumiaji 39,590,502 mwezi Septemba mwaka huu kutoka watumiaji 35,201,960 walioripotiwa Mwezi Januari mwaka 2022.

Chanzo cha kufeli kwa mawakili nchini Tanzania chawekwa wazi
Africa East Africa

Chanzo cha kufeli kwa mawakili nchini Tanzania chawekwa wazi

Asia GambaNovember 21, 2022November 21, 2022

Kamati ya kufuatilia mwenendo wa matokeo ya mitihani ya mafunzo ya uansheria kwa vitendo (LST), imeanisha changamoto nane ikisema ni miongoni mwa vikwazo katika kupata wanafunzi bora wanaosomea fani ya sheria nchini.

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani
Africa East Africa

Tanzania yapewa msaada wa bilioni 210 kutoka Ujerumani

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ujerumani imetangaza uamuzi huo mjini Berlin baada ya kukamilika kwa majadiliano kati ya ujumbe wa Tanzania ulioongozwa na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Ujumbe wa Ujerumani ulioongozwa na Naibu Waziri anayesimamia uhusiano wa kiuchumi na Maendeleo wa nchi hiyo, Dkt. Barbel Kofler.

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu
Africa East Africa

Nape:TRA tumieni taaluma kukusanya kodi msitumie nguvu

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Nape ametoa kauli hiyo jijini  Dar es Salaam wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa walipa kodi bora mwaka 2021/2022.

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta
Africa East Africa

Mtoto afariki dunia kwa kuangukiwa na ukuta

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issah, alisema tukio hilo limetokea Novemba 10, majira ya saa 10 jioni wakati mtoto aliporudi shule na kukuta mlango wa nyumbani kwao umefungwa na kuamua kujikinga kwenye boma hilo wakati mvua ikinyesha.

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.
Africa East Africa

UNICEF:Ubaguzi wa rangi na ubaguzi dhidi ya watoto umeenea duniani kote.

Asia GambaNovember 18, 2022

Taarifa iliyotolewa leo na UNICEF kutoka New York Marekani imeeleza kuwa katika utafiti uliofanywa kwenye nchi 22 za kipato cha chini na cha kati umeonesha jinsi watoto wanavyobaguliwa katika afya, kupata rasilimali zinazotolewa na serikali, na elimu.

TCAA:Ndege kushindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa ni jambo la kawaida
Africa East Africa

TCAA:Ndege kushindwa kutua kwa sababu ya hali mbaya ya hewa ni jambo la kawaida

Asia GambaNovember 18, 2022November 18, 2022

Ndege hiyo ambayo ilikuwa inaenda mjini Bukoba kupitia Mwanza ikitokea Dar es Salaam, ililazimika kutua salama katika uwanja wa Ndege wa Mwanza majira ya saa 6:56 mchana baada ya kushindwa kutua kwenye uwanja wa Bukoba

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy