• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Kesi ya Sabaya, upelelezi kukamilika ndani ya siku 90
Africa East Africa

Kesi ya Sabaya, upelelezi kukamilika ndani ya siku 90

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Sabaya na wenzake wanne walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kwa mara ya kwanza Juni Mosi mwaka huu wakikabiliwa na mashitaka 7 ikiwemo uhujumu uchumi, ambapo leo Oktoba 10 anatimiza siku 132 akiwa mahabusu.

Vitendo vya ukatili vyaongezeka mkoani Katavi
Africa East Africa

Vitendo vya ukatili vyaongezeka mkoani Katavi

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Sababu za matukio hayo kuongezeka ni kupungua kwa utoaji elimu juu ya madhara ya ukatili na unyayasaji wa kijinsia kwa jamii.

Rais Samia,Ruto waagiza kuondolewa vikwazo 14 vya biashara
Africa East Africa

Rais Samia,Ruto waagiza kuondolewa vikwazo 14 vya biashara

Asia GambaOctober 10, 2022October 10, 2022

Rais Ruto amesema Mawaziri baina ya Kenya na Tanzania wanapaswa kufanyia kazi changamoto zilizobaki na kufikia mwishoni mwa mwaka huu changamoto zote zimetatuliwa.

Tanzania; Darasa la saba kuanza mitihani yao ya mwisho kesho
Africa East Africa

Tanzania; Darasa la saba kuanza mitihani yao ya mwisho kesho

Asia GambaOctober 4, 2022October 4, 2022

Jumla ya watahiniwa 1,384,340 wanatarajia kufanya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi utakaofanyika Oktoba 5 na 6 mwaka huu.

Tanzania yaweka mikakati ya kukabiliana  Ebola
Africa East Africa

Tanzania yaweka mikakati ya kukabiliana  Ebola

Asia GambaSeptember 28, 2022September 28, 2022

Maagizo hayo yametolewa siku nane tangu kutokea mlipuko wa ugonjwa huo Septemba 20, 2022 katika Wilaya ya Mubende nchini Uganda ambapo mpaka sasa tayari vifo 23 vimetokea na wagonjwa 43.

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japani Shinzo Abe amefanyiwa mazishi ya kitaifa hii leo.
Africa East Africa

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Japani Shinzo Abe amefanyiwa mazishi ya kitaifa hii leo.

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Abe aliyefariki akiwa na miaka 67,  alikuwa waziri mkuu wa Japan aliyekaa muda mrefu zaidi na mmoja wa watu wanaotambulika sana kisiasa nchini humo, anayejulikana kwa kukuza ushirikiano wa kimataifa na mkakati wake wa kiuchumi wa “Abenomics”.

JTI kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania    
Africa East Africa

JTI kununua kilo milioni 30 za tumbaku Tanzania    

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Ahadi hiyo imetolewa jana Jumatatu, Septemba 26, 2022 na Rais na Mtendaji Mkuu wa JTI, Masamichi Terabatake mbele ya Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, aliyetembelea ofisi zao, ili kuwahakikishia utekelezaji wa mazungumzo yaliyofanyika wakati wa mkutano wa TICAD 8, jijini Tunis, Agosti, mwaka huu.

Saratani ya mlango wa kizazi yaendelea kuwa tishio kwa nchi za Afrika.
Africa East Africa

Saratani ya mlango wa kizazi yaendelea kuwa tishio kwa nchi za Afrika.

Asia GambaSeptember 27, 2022September 27, 2022

Waziri Ummy amesema, miongoni mwa hatua ambazo zimechukuliwa kukabili ugonjwa huo, Serikali imeiomba jumuiya ya kimataifa kushiriki katika mapambano ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza.

Ahukumiwa kuchapwa viboko 6 kwa kosa la ubakaji
Africa East Africa

Ahukumiwa kuchapwa viboko 6 kwa kosa la ubakaji

Asia GambaSeptember 26, 2022September 26, 2022

Mahakama ya mkoa Manyara imemhukumu John Emmanuel (18) mkazi wa kijiji cha Malangi wilayani Babati kuchapwa viboko sita (6) baada ya kukutwa na kosa la ubakaji.

Bisimba:Serikali ingekuwa inafanya kila kitu hata asasi za kiraia zisingekuwepo
Africa East Africa

Bisimba:Serikali ingekuwa inafanya kila kitu hata asasi za kiraia zisingekuwepo

Asia GambaSeptember 26, 2022September 26, 2022

Dkt. Kisimba amesema, asasi za kiraia zina mchango mkubwa katika maendeleo ya mtu mmoja mmoja na hata kuisaidia serikali katika kuharakisha maendeleo kwa wananchi kwa kutekeleza majukumu ambayo pia yangeweza kufanywa na serikali.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy