• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Anayedaiwa kuiba Kishikwambi cha sensa kufikishwa mahakamani leo
Africa East Africa

Anayedaiwa kuiba Kishikwambi cha sensa kufikishwa mahakamani leo

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amesema mtuhumiwa anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi Tanzania,  baada ya kupora kishikwambi kwa karani wa sensa katika kata ya Majimoto halmashauri ya Mpimbwe atafikishwa mahakamani leo Augost 26, 2022.

TWAWEZA:Tozo za miamala zinadhihirisha changamoto ya utawala
Africa East Africa

TWAWEZA:Tozo za miamala zinadhihirisha changamoto ya utawala

Asia GambaAugust 26, 2022August 26, 2022

Kwa mujibu wa ripoti hiyo ni kwamba maoni ya wananchi kuhusu tozo za miamala ya fedha kwa njia ya simu yanadhihirisha changamoto ya utawala. 

Mbowe amkumbuka Mrema kwa uthubutu wake kwenye misimamo ya kazi
Africa East Africa

Mbowe amkumbuka Mrema kwa uthubutu wake kwenye misimamo ya kazi

Asia GambaAugust 25, 2022August 25, 2022

Amesema Mrema alikuwa ni kiongozi ambaye alikuwa akikosoa na kupinga pale panapostahili na kusukuma vita ya kutafuta haki, demokrasia, uhuru na maendeleo ya Watanzania kupitia vyama vya siasa.

Karani wa Sensa akutwa amelewa pombe huku akihesabu kaya moja siku nzima
Africa East Africa

Karani wa Sensa akutwa amelewa pombe huku akihesabu kaya moja siku nzima

Asia GambaAugust 25, 2022August 25, 2022

Mratibu wa Sensa wa Manispaa ya Musoma, Joseph Ochora amemtaja karani wa sensa, Thomas Ndyetabura kwamba anashikiliwa na polisi tangu juzi  kwa kuhesabu kaya moja tu kutwa nzima, baadaye kukutwa akiwa amelewa.

Amuua baba yake kisa kuzuiwa kuomba unyumba
Africa East Africa

Amuua baba yake kisa kuzuiwa kuomba unyumba

Asia GambaAugust 25, 2022August 25, 2022

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia Hamis Athumani (23) mkazi wa Chigungwe wilayani Tandahimba kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi kisa kukatazwa kuomba unyumba kwa mkewe mwenye kichanga.

Kuchengo: Kuna dodoso maalumu litakalotumika kwa kaya zisizokuwepo nyumbani 
Africa East Africa

Kuchengo: Kuna dodoso maalumu litakalotumika kwa kaya zisizokuwepo nyumbani 

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Kupitia dodoso hilo karani utaweza kufuatilia tarifa za kaya kwa ukaribu zaidi

Ofisa Mipango nchini Tanzania alawiti mtoto wa miaka mitano ndani ya gari                         
Africa East Africa

Ofisa Mipango nchini Tanzania alawiti mtoto wa miaka mitano ndani ya gari                        

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ali Makame amewaambia wanahabari kuwa, tukio hilo lilitokea Agosti 13, 2022, majira ya saa moja na nusu jioni katika Kijiji na Kata ya Kibaoni, Tarafa ya Mpimbwe, Wilaya ya Mlele

Miaka 31 ya uhuru wa Ukraine iliyojaa misukosuko ya vita
Europe International War & Conflicts

Miaka 31 ya uhuru wa Ukraine iliyojaa misukosuko ya vita

Asia GambaAugust 24, 2022July 2, 2024

Ukraine inaadhimisha uhuru wake ikiwa katika hali ngumu ya misukosuko ya vita vinavyorudisha nyuma maendeleo ya taifa hilo ambalo sasa watu wake wanaishi kwa hofu juu ya muafaka wa maisha yao

Waangola leo wanapiga kura ya kumchagua rais huku kukiwa na hali mbaya ya kiuchumi.
Africa

Waangola leo wanapiga kura ya kumchagua rais huku kukiwa na hali mbaya ya kiuchumi.

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Uchaguzi huo umegubikwa na masaibu mengi ya Angola ikiwemo uchumi unaotatizika, mfumuko wa bei, umaskini na ukame, ukichangiwa na kifo cha rais wa zamani 

Aliyejifanya mkurugenzi wa usalama wa taifa ahukumiwa miaka mitano jela.
Africa East Africa

Aliyejifanya mkurugenzi wa usalama wa taifa ahukumiwa miaka mitano jela.

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Mlele, Bilal Ahmed, alitoa hukumu hiyo Agosti 22 baada ya kesi namba 90 ya mwaka 2022 kusikilizwa mahakamani hapo na mshtakiwa kukutwa na hatia.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy