• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Mlipuko wa Ebola wazuka tena nchini DRC       
Africa East Africa

Mlipuko wa Ebola wazuka tena nchini DRC       

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Kwa mujibu wa WHO uchunguzi umeonyesha kuwa kisa hicho kinahusiana na milipuko miwili iliyodumu kwa muda mrefu nchini humo ya majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.

Serikali ya Tanzania yawachinjia nyama Wahadzabe ili washiriki zoezi la Sensa   
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yawachinjia nyama Wahadzabe ili washiriki zoezi la Sensa   

Asia GambaAugust 24, 2022August 24, 2022

Akizungumza mjini Karatu, wakati Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella, amesema waliamua kuwachinjia jamii ya Wahadzabe, pundamilia wawili na nyumbu wawili, pamoja na kuwapa ndizi mbivu, ili wawepo katika makazi yao kwa ajili ya kuhesabiwa.

Bilioni 17 zatolewa kuimarisha huduma ya mama na mtoto nchini Tanzania       
Africa East Africa

Bilioni 17 zatolewa kuimarisha huduma ya mama na mtoto nchini Tanzania       

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Benki ya Dunia imetoa msaada wa shilingi bilioni  17 kwa serikali ya Tanzania, kwa ajili ya kuimarisha huduma ya mama na mtoto.

Urusi yaishutumu Ukraine kuhusika na kifo cha mtoto wa mshauri wa Putin
Europe International War & Conflicts

Urusi yaishutumu Ukraine kuhusika na kifo cha mtoto wa mshauri wa Putin

Asia GambaAugust 22, 2022July 2, 2024

Idara ya usalama ya FSB ya Urusi leo imesema kwamba Ukraine ndiyo iliyohusika na shambulio la bomu kwenye gari katika viunga vya mji wa Moscow na kumuua binti wa mwana itikadi kali wa Urusi Alexander Dugin.

Watu wenye silaha wawateka nyara watawa wa Kikatoliki nchini Nigeria
Africa

Watu wenye silaha wawateka nyara watawa wa Kikatoliki nchini Nigeria

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Utekaji nyara unaofanywa na magenge ya wahalifu hutokea mara kwa mara katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika, lakini katika wiki za hivi karibuni waumini wa makanisa ya Kikristo wamezidi kulengwa.

Mrema kuzikwa Agosti 25 kijijini kwao
Africa East Africa

Mrema kuzikwa Agosti 25 kijijini kwao

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mtoto wa Mrema, Michael Mrema Maziko hayo yatatanguliwa na ibada ya mazishi siku ya Jumatano itakayofanyika katika kanisa Katoliki Parokia ya Salasala kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Kilimanjaro. 

Wananchi wa Angola wachoshwa na chama tawala wakati nchi hiyo ikijiandaa kwa uchaguzi siku ya Jumatano.
Africa

Wananchi wa Angola wachoshwa na chama tawala wakati nchi hiyo ikijiandaa kwa uchaguzi siku ya Jumatano.

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Wananchi wengi wa Angola wamechoshwa na chama ambacho kimeshika madaraka tangu nchi hiyo ilipojinyakulia uhuru kutoka kwa wakoloni wa Ureno mwaka 1975.

Binti wa Mshauri wa Rais Putin afariki kwa kulipukiwa na bomu lililotegwa ndani ya gari
Africa

Binti wa Mshauri wa Rais Putin afariki kwa kulipukiwa na bomu lililotegwa ndani ya gari

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Kulingana na wanafamilia walionukuliwa na vyombo vya habari vya Urusi, Dugin mfuasi mkubwa wa mashambulizi ya Kremlin nchini Ukraine — ndiye aliyelengwa na mlipuko huo kwani binti yake aliazima gari lake dakika za mwisho.

Augustine Lyatonga Mrema Mwanasiasa aliyetamba kwenye ulingo wa siasa na kuacha gumzo kila mahali 
Africa East Africa

Augustine Lyatonga Mrema Mwanasiasa aliyetamba kwenye ulingo wa siasa na kuacha gumzo kila mahali 

Asia GambaAugust 22, 2022August 22, 2022

Mrema ambaye hivi sasa hayupo katika uso wa dunia kufuati kifo chake kilichotokea Agosti 21,2022 katika hospitali ya Taifa Muhimbili nchini Tanzania alipokuwa amelazwa akipokea matibabu atakumbukwa kwa mengi hasa katika nguvu yake ya kujenga hoja za kisiasa dhidi ya watawala wa nchi.

Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya NHIF wapewa siku 11 kuyalipa
Africa East Africa

Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya NHIF wapewa siku 11 kuyalipa

Asia GambaAugust 19, 2022August 19, 2022

Taarifa kwa umma iliyotolewa leo Agosti 19, 2022 na Kitengo cha uhusiano NHIF imeeleza kuwa hatua zitachukuliwa kwa waajiri ambao hawatakamilisha michango hiyo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy