• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

NEC/ZEC: Changamoto zinzotokea wakati wa uchaguzi zinachangiwa na vyama vya siasa
Africa East Africa

NEC/ZEC: Changamoto zinzotokea wakati wa uchaguzi zinachangiwa na vyama vya siasa

Asia GambaJuly 13, 2022July 13, 2022

Aidha, NEC na ZEC zimesema zipo tayari kupokea mabadiliko ya kisheria ambayo yatapendekezwa katika kuzifanya taasisi hizo kuepushwa na  malalamiko. 

Watu watano wafariki kwenye ajali mkoani Simiyu
Africa East Africa

Watu watano wafariki kwenye ajali mkoani Simiyu

Asia GambaJuly 13, 2022July 13, 2022

Ajali hiyo ilihusisha magari madogo mawili ya abiria aina ya Toyota pro box na Toyota wish ambayo yanayofanya safari zake kati ya mji wa Bariadi na Lamadi wilayani Busega ambayo yaligongana uso kwa uso.

Ugonjwa wa ajabu waibuka mikoa ya kusini mwa Tanzania
Africa East Africa

Ugonjwa wa ajabu waibuka mikoa ya kusini mwa Tanzania

Asia GambaJuly 12, 2022July 12, 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema katika mikoa ya kusini mwa Tanzania kumeibuka ugonjwa wa ajabu, ambapo watu wengi wanavuja damu puani mfululizo na kuanguka.

Pacha mmoja aliyetanganishwa afariki dunia   
Africa East Africa

Pacha mmoja aliyetanganishwa afariki dunia   

Asia GambaJuly 12, 2022July 12, 2022

Taarifa iliyotolewa na Hospitali hiyo leo Julai 12, 2022 na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma, Aminiel Aligaesha imeeleza kuwa hali ya Neema ilibadilika ghafla akiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU).

Mkurugenzi Dar asimamishwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha.
Africa East Africa

Mkurugenzi Dar asimamishwa kazi kwa ubadhirifu wa fedha.

Asia GambaJuly 12, 2022July 12, 2022

Watumishi hao wamesimamishwa kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za serikali zaidi ya shilingi bilioni 10 zilizokusanywa na hazikuwasilishwa benki kama sheria inavyoelekeza.

Mfalme Zumaridi amkataa hakimu
Africa East Africa

Mfalme Zumaridi amkataa hakimu

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Katika kesi hiyo Mfalme Zumaridi na wenzake nane wanakabiliwa na shtaka la kushambulia na kumsababishia majeraha Ofisa wa Jeshi la Polisi na kumzuia Ofisa Ustawi wa Jamii kutekeleza majukumu yake.

Rais wa Sri Lanka huenda akakimbilia uhamishoni
Africa

Rais wa Sri Lanka huenda akakimbilia uhamishoni

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Hakukuwa na taarifa rasmi kutoka ofisi ya rais kuhusu aliko, lakini ripoti kadhaa za vyombo vya habari zilikisia kwamba alikuwa anatazamiwa kuondoka kuelekea Dubai 

Pesa za Rais wa Sri Lanka  kukabidhiwa mahakamni leo
Africa

Pesa za Rais wa Sri Lanka  kukabidhiwa mahakamni leo

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Waandamanaji waligundua rupia milioni 17.85 (kama dola 50,000) katika noti mpya lakini wakazikabidhi kwa polisi kufuatia shambulio la Jumamosi la Ikulu ya Rais.

Aliyetumika kufanya mauaji kwakukodiwa nchini Tanzania naye auawa.
Africa East Africa

Aliyetumika kufanya mauaji kwakukodiwa nchini Tanzania naye auawa.

Asia GambaJuly 11, 2022July 11, 2022

Inadaiwa kuwa mtuhumiwa huyo alikuwa anatafutwa na polisi kwa muda mrefu kwa tuhuma za kukata mapanga watu maeneo tofauti.

Mwanafunzi mmoja nchini Kenya ajiteka nyara ili wazazi wake wamtumie pesa
Africa

Mwanafunzi mmoja nchini Kenya ajiteka nyara ili wazazi wake wamtumie pesa

Asia GambaJuly 8, 2022July 8, 2022

Kwa mujibu wa BBC Edwin Kamau (23), anatuhumiwa “kutoweka” siku ya Jumapili na kumpigia simu mama yake siku chache baadaye kuomba fidia ya Ksh 70,000 (Tsh 1,380,000).

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy