Utafiti: Takriban thuluthi moja ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea huanza kuzaa wakiwa na umri wa miaka 19 na kushuka chini ya umri huo.
Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo baada ya kupata mtoto wao wa kwanza, kuongeza idadi ya watoto kwa wasichana vigori imekuwa ni kawaida.