• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Asia Gamba

Utafiti: Takriban thuluthi moja ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea huanza kuzaa wakiwa na umri wa miaka 19 na kushuka chini ya umri huo.
Africa East Africa

Utafiti: Takriban thuluthi moja ya wanawake wote katika nchi zinazoendelea huanza kuzaa wakiwa na umri wa miaka 19 na kushuka chini ya umri huo.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo baada ya kupata mtoto wao wa kwanza, kuongeza idadi ya watoto kwa wasichana vigori imekuwa ni kawaida.  

Moto wateketeza bweni la shule ya msingi ya wavulana Chalinze
Africa East Africa

Moto wateketeza bweni la shule ya msingi ya wavulana Chalinze

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Akizungumza shuleni hapo alipotembelea shule hiyo kutoa pole na kujionea madhara ya moto huo, Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakari Kunenge alisema tukio lilitokea alfajiri, wakati wanafunzi hao wakiwa kwenye ibada msikitini. 

Bei mpya ya mafuta kuanza kutumika leo huku ikiendelea kupanda
Africa East Africa

Bei mpya ya mafuta kuanza kutumika leo huku ikiendelea kupanda

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Katika taarifa iliyotolewa jana Jumanne Julai 5, 2022 na Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), bei ya rejareja jijini Dar es Salaam itakuwa shilingi 3,220 kwa lita moja ya petroli na shilingi 3,143 kwa dizeli huku mafuta ya taa yakifika shilingi 3,442.

Vifo vyaongezeka kwenye familia moja ya watu sita waliouawa mkoani Kigoma nchini Tanzania.
Africa East Africa

Vifo vyaongezeka kwenye familia moja ya watu sita waliouawa mkoani Kigoma nchini Tanzania.

Asia GambaJuly 6, 2022July 6, 2022

Mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoa wa Kigoma, Maweni Dkt, Stanley Binagi amethibitisha kifo cha mtoto huyo kilichotokea katika hospital ya mkoa wa Morogoro akiwa njiani kupelekwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi.

Mawakili wa Serikali wakwamisha kesi ya CHADEMA
Africa East Africa

Mawakili wa Serikali wakwamisha kesi ya CHADEMA

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Kesi hiyo iliyopo mbele ya Jaji Adam Mambi imeahirishwa leo Jumanne, tarehe 5 Julai 2022, hadi Jumatatu ijayo ya tarehe 11 Julai 2022.

Wasichana wang’ara ufaulu wa masomo ya Sayansi kidato cha sita
Africa East Africa

Wasichana wang’ara ufaulu wa masomo ya Sayansi kidato cha sita

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Kwa upande wa watahiniwa waliofanya vizuri zaidi kitaifa katika mtihani huo kwenye masomo ya sayansi, wasichana wamekuwa kinara ambapo wako saba wote kutoka Shule ya Sekondari ya St. Mary’s Mazinde Juu, iliyoko mkoani Tanga, huku wa kiume wakiwa watatu kutoka Shule ya Tabora Boys, ya mkoani Tabora

Aliyekuwa bosi wa TPA asomewa mashtaka akiwa kitandani Muhimbili
Africa East Africa

Aliyekuwa bosi wa TPA asomewa mashtaka akiwa kitandani Muhimbili

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ilihamia kwa muda jana katika hospitali hiyo kwa ajili ya kumsomea Kipande mashtaka yanayomkabili kuanzia saa 8:57 hadi saa 9:08 mchana, likiwamo la kuisababishia TPA hasara ya shilingi  bilioni 4.2.

Samaki wa ajabu apatikana Mtwara nchini Tanzania
Africa East Africa

Samaki wa ajabu apatikana Mtwara nchini Tanzania

Asia GambaJuly 5, 2022July 5, 2022

Samaki huyo alivuliwa na wavuvi wa hiyari, ambao hutega nyavu zao baharini, ambazo hubeba chochote kilichopo Baharini.

Kigogo TPA atumbuliwa
Africa East Africa

Kigogo TPA atumbuliwa

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Rais Samia amechukua uamuzi huo saa chache baada kusema haridhishwi na kasi ya utendaji wa bandari za Tanzania na kuwataka watendaji waache siasa na longolongo wakati wa utekelezaji majukumu yao

Mwanaume mmoja nchini Tanzania akatwa sehemu za siri akiwa kwenye kilabu cha pombe
Africa East Africa

Mwanaume mmoja nchini Tanzania akatwa sehemu za siri akiwa kwenye kilabu cha pombe

Asia GambaJuly 4, 2022July 4, 2022

Tukio la mwanaume huyo kukatwa nyeti lilitokea Juni 28, 2022 usiku ambapo inadaiwa kuwa alikuwa kwenye kilabu cha pombe za kienyeji na alipotoka nje kujisaidia akakutana na watu hao na kumkata kwa kutumia kisu.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy