Mchungaji Ezekiel: Mvuvi wa Kenya aliyegeuka kuwa mhubiri anayetuhumiwa kwa mauaji ya watu wengi
Kwa wafuasi wake, Ezekiel Ombok Odero ni kiongozi wa kiroho mwenye kipawa ambaye anaweza kutibu VVU kwa “maji matakatifu.”
Kwa wafuasi wake, Ezekiel Ombok Odero ni kiongozi wa kiroho mwenye kipawa ambaye anaweza kutibu VVU kwa “maji matakatifu.”
Serikali ya Kenya mwezi Disemba iliidhinisha pendekezo la baraza la mawaziri kuunga mkono ombi la mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, pamoja na majirani zake wawili
Ezekiel Odero, mkuu wa New Life Prayer Center and Church, “amekamatwa na atakabiliwa na mashtaka ya uhalifu yanayohusiana na mauaji ya halaiki ya wafuasi wake
Kura za maoni zinaonyesha idadi kubwa ya Wamarekani hawana shauku kuhusu Biden kugombea tena na umri ni moja wapo ya maswala kuu
Kufuatia ugunduzi wa kutisha nchini Kenya wa miili ya zaidi ya 80 huko Shakahola, Kaunti ya Kilifi ya wanaoshukiwa kuwa washiriki wa ibada wanaoaminika kujiua kwa njaa, tunaangalia madhehebu mengine mashuhuri ya wauaji
Jumla ya nchi 108 zilikuwa zimekomesha rasmi hukumu ya kifo kwa uhalifu wote kufikia mwisho wa 2021, kulingana na Amnesty, kutoka nchi 16 mwaka 1977
Mwanademokrasia huyo mkongwe atakuwa na umri wa miaka 86 ifikapo mwisho wa muhula wa pili
“Ninajichukia mwenyewe. Sijipendi ndio maana niliuawa mtoto wangu. Nimepitia magumu na huyu mtoto,” mwanamke huyo alisema
Kiongozi huyo wa madhehebu alikamatwa Aprili 14 kufuatia taarifa iliyodokeza kuwepo kwa makaburi mafupi yenye miili ya baadhi ya wafuasi wake
Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na vimelea vinavyoambukizwa kwa binadamu kwa kuumwa na mbu