• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Joy Cheptoo

Muuguzi wa Hospitali ya Entebbe akamatwa kwa madai ya kuwabaka wagonjwa
East Africa People

Muuguzi wa Hospitali ya Entebbe akamatwa kwa madai ya kuwabaka wagonjwa

Joy CheptooFebruary 20, 2023February 20, 2023

Kutesa Denis aliwatambua waathiriwa wake kutoka wadi ya Magonjwa ya Wanawake na kisha kuwatia dawa inayoshukiwa kuwa chloroform kabla ya kuwabaka

Daktari wa Shirika la Afya Duniani aliyetekwa nyara nchini Mali ameachiliwa
Africa People

Daktari wa Shirika la Afya Duniani aliyetekwa nyara nchini Mali ameachiliwa

Joy CheptooFebruary 5, 2023February 5, 2023

Haikuwa wazi ni nani aliyemteka daktari

Polisi wa Kenya wamehukumiwa kwa mauaji ya wakili wa haki za binadamu
East Africa People

Polisi wa Kenya wamehukumiwa kwa mauaji ya wakili wa haki za binadamu

Joy CheptooFebruary 3, 2023February 3, 2023

Maafisa watatu wa polisi wa Kenya walihukumiwa kifungo cha kuanzia miaka 24 jela hadi hukumu ya kifo kwa mauaji ya kikatili ya wakili Willie Kimani

Mbona usalama wa Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta umepunguzwa?
East Africa People Politics

Mbona usalama wa Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta umepunguzwa?

Joy CheptooFebruary 3, 2023February 3, 2023

Inspekta Jenerali alitupilia mbali madai yoyote kwamba uamuzi huo ulichochewa kisiasa

#KENYA: Walimu wakamatwa kwa kuwalazimisha wanafunzi wachanga kufanya vitendo vya kiutu uzima
East Africa

#KENYA: Walimu wakamatwa kwa kuwalazimisha wanafunzi wachanga kufanya vitendo vya kiutu uzima

Joy CheptooFebruary 2, 2023February 2, 2023

Video hiyo ilionyesha wavulana wanne waliovalia sare za shule wakiiga vitendo vya ngono chini ya mti katika eneo la shule huku walimu wakitazama

Idris Elba kufungua studio ya filamu nchini Tanzania
Arts & Culture East Africa People

Idris Elba kufungua studio ya filamu nchini Tanzania

Joy CheptooFebruary 1, 2023February 1, 2023

Hii ni baada ya Elba na mkewe, Sabrina Elba, kukutana na Rais Suluhu kando ya Kongamano la Kiuchumi la Dunia huko Davos, Uswizi, mapema mwezi huu

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanaharakati wa LGBTQ Edwin Chiloba kushtakiwa
East Africa People

Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mwanaharakati wa LGBTQ Edwin Chiloba kushtakiwa

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Jacktone Odhiambo, ambaye alikiri kumuua Edwin Chiloba kwa madai ya kutokuwa mwaminifu katika uhusiano wao atakabiliwa na mashtaka ya mauaji

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye
East Africa

Mwanaume wa Uganda atunukiwa Sh.10M baada ya mpenzi wake kukataa kuolewa naye

Joy CheptooJanuary 31, 2023January 31, 2023

Mwanamume huyo aliyevunjika moyo alisema alitaka mchumba wake amalize masomo yake kabla ya kufunga pingu za maisha

Watu 40 wamefariki katika ajali ya basi la Pakistan
Asia People

Watu 40 wamefariki katika ajali ya basi la Pakistan

Joy CheptooJanuary 29, 2023January 29, 2023

Inahofiwa kuwa huenda dereva alipitiwa na usingizi

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania
East Africa

Ushauri wa usafiri wa KLM umezua hasira nchini Kenya na Tanzania

Joy CheptooJanuary 29, 2023January 29, 2023

Shirika hilo la ndege, ambalo linamilikiwa na Air France KLM, liliomba msamaha kwa serikali ya Kenya, likisema ushauri huo “umekusudiwa kwa wateja wetu nchini Tanzania pekee”.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy