• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

DR Congo yazindua mnada wenye utata wa uchimbaji wa mafuta na gesi
East Africa Features People Politics

DR Congo yazindua mnada wenye utata wa uchimbaji wa mafuta na gesi

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo siku ya Alhamisi ilizindua mnada wenye utata wa vitalu 30 vya mafuta na gesi

DR Congo: Mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya waasi yasababisha vifo vya raia 12
East Africa Features Politics

DR Congo: Mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya waasi yasababisha vifo vya raia 12

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Watu wanaoshukiwa kuwa waasi wamewaua raia kumi na wawili katika mashambulizi ya hivi majuzi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,

Waziri wa zamani wa Msumbiji ahukumiwa kifungo cha miaka 16 jela kwa ufisadi
Africa Features People Politics

Waziri wa zamani wa Msumbiji ahukumiwa kifungo cha miaka 16 jela kwa ufisadi

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Maria Helena Taipo, 60, mwanachama wa chama tawala cha FRELIMO ambaye aliongoza wizara ya Leba kutoka 2005 hadi 2014, alishtakiwa kwa ubadhirifu wa metical milioni 113 (dola milioni 1.7) za serikali

ECOWAS yasema Guinea imekubali kipindi cha mpito cha miaka miwili
Africa Features People Politics

ECOWAS yasema Guinea imekubali kipindi cha mpito cha miaka miwili

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Mwenyekiti wa jumuiya ya kanda ya Afrika Magharibi alisema kwamba Guinea itapunguza kipindi cha mpito cha utawala wa kiraia kutoka miaka mitatu hadi miwili.

Ivory Coast yatangaza ugunduzi mpya wa mafuta na gesi
Africa Features

Ivory Coast yatangaza ugunduzi mpya wa mafuta na gesi

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Kampuni ya Italia ya Eni imeripoti ugunduzi mpya wa mafuta na gesi asilia nchini Ivory Coast

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua
Features People Politics

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.

Michezo ya Jumuiya ya Madola kuzinduliwa kwa mbwembwe mjini Birmingham
Europe Features Sports

Michezo ya Jumuiya ya Madola kuzinduliwa kwa mbwembwe mjini Birmingham

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Zaidi ya wanariadha 5,000 watapata nafasi ya kushiriki katika michezo ya Jumuiya ya Madola katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kuanzia Ijumaa.

Benin yawaachilia wafuasi 30 wa upinzani wakati wa ziara ya Macron
Africa Features People Politics

Benin yawaachilia wafuasi 30 wa upinzani wakati wa ziara ya Macron

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Benin imewaachia huru wafuasi 30 wa upinzani waliokamatwa wakati wa uchaguzi wa 2021 ambapo Rais Patrice Talon alishinda muhula wa pili

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo
Features Politics

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9

Wachimba migodi wavumbua almasi inayoaminika kuwa kubwa zaidi kuwahi kupatikana katika miaka 300
Africa Business / Finance Features

Wachimba migodi wavumbua almasi inayoaminika kuwa kubwa zaidi kuwahi kupatikana katika miaka 300

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Almasi hiyo adimu imepewa jina ‘Lulo Rose’ iligunduliwa katika mgodi wa Lulo nchini Angola na Kampuni ya Lucapa Diamond.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo