• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mwanamfalme Charles atoa heshima kwa wahanga wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda
East Africa Features International People Politics

Mwanamfalme Charles atoa heshima kwa wahanga wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Viongozi wa mataifa ya Jumuiya ya Madola wanatarajiwa mjini Kigali katika siku zijazo kwa mkutano wa jumuiya hiyo yenye wanachama 54 ya makoloni ya zamani ya Uingereza.

Upinzani wa Afrika Kusini waitaka FBI kuchunguza kashfa ya wizi katika shamba la Ramaphosa
Africa Features People Politics

Upinzani wa Afrika Kusini waitaka FBI kuchunguza kashfa ya wizi katika shamba la Ramaphosa

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Ramaphosa anashutumiwa kwa kuficha polisi na mamlaka ya ushuru wizi wa pesa kutoka kwa nyumba yake ya kifahari ya shambani katika mkoa wa kaskazini wa Limpopo.

Wakazi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakataa wazo la jeshi la kikanda
East Africa Features Politics

Wakazi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakataa wazo la jeshi la kikanda

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Kwa wengi katika kanda hiyo, haikuwa wazi jinsi jeshi lolote jipya la kikanda lingeweza kufanikiwa pale ambapo MONUSCO ilishindwa.

Nigeria: Wasichana wawili wa Chibok waliotekwa nyara waachiliwa huru miaka minane baadae
Africa Features Politics

Nigeria: Wasichana wawili wa Chibok waliotekwa nyara waachiliwa huru miaka minane baadae

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Makumi ya wanamgambo wa Boko Haram walivamia shule ya bweni ya wasichana ya Chibok mwaka 2014 na kuwapakia wanafunzi 276, wenye umri wa miaka 12-17, wakati huo kwenye lori katika tukio la kwanza la utekaji nyara wa shule ya halaiki ya kundi hilo la kijihadi.

Naomi Osaka azindua kampuni ya utangazaji ‘Hana Kuma’ kwa ushirikiano na Lebron James
Arts & Culture Business / Finance People Sports

Naomi Osaka azindua kampuni ya utangazaji ‘Hana Kuma’ kwa ushirikiano na Lebron James

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

“Hana Kuma”, jina la kijapani ambayo tafsiri yake “Flower Bear” ni kampuni itakayotoa hadithi maalum za kitamaduni lakini pia za ulimwengu kwa watazamaji wote”

Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi
Africa Features People Politics

Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi

Maureen MedzaJune 22, 2022June 22, 2022

Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto
Features International

Kasisi wa Chile ahukumiwa kifungo cha miaka 15 kwa kuwadhulumu watoto

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Kasisi aliyefukuzwa kazi na aliyewahi kushika nyadhifa za juu katika Kanisa Katoliki nchini Chile alihukumiwa kifungo cha miaka 15 jela kwa kosa la kubaka na kuwadhalilisha watoto kingono

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula
Africa Features

EU yaahidi kutoa euro milioni 600 kwa Afrika, kukabiliana na uhaba wa chakula

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Umoja wa Ulaya Jumanne uliahidi kuongeza euro milioni 600 kusaidia mataifa yaliyo hatarini kukabiliana na mzozo wa usalama wa chakula uliozidishwa na vita vya Urusi dhidi ya Ukraine.

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha
Features Lifestyle & Health

Wakenya wapo tayari kuuza figo kukabiliana na hali ngumu ya maisha

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Hospitali kuu ya umma nchini Kenya inasema kumekuwa na ongezeko la idadi ya watu wanajitolea kuuza figo zao.

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo
East Africa Features People Politics

Viongozi wa Afrika Mashariki wakubaliana kuwepo kwa jeshi la kikanda DR Congo

Maureen MedzaJune 21, 2022June 21, 2022

Viongozi wa Afrika Mashariki walikubaliana Jumatatu kutuma kikosi cha kikanda kujaribu kumaliza mapigano mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na kutoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo