• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Watu wenye silaha wamewaua watu 32 kaskazini magharibi mwa Nigeria
Africa Features Politics

Watu wenye silaha wamewaua watu 32 kaskazini magharibi mwa Nigeria

Maureen MedzaJune 10, 2022June 10, 2022

Katika miezi ya hivi karibuni, wameshambulia treni ya abiria kati ya mji mkuu wa Abuja na mji wa Kaduna na kuwateka nyara makumi ya watu na kuua zaidi ya wanavijiji 100

Afrika Kusini: 15 wafariki, 37 wajeruhiwa katika ajali ya barabarani
Africa Features

Afrika Kusini: 15 wafariki, 37 wajeruhiwa katika ajali ya barabarani

Maureen MedzaJune 10, 2022June 10, 2022

Watu 15 wameuawa na 37 kujeruhiwa Ijumaa wakati basi na lori lilipogongana kwenye barabara kuu ya Afrika Kusini karibu na mji mkuu Pretoria

Takriban Wakenya 250,000 waliofariki wapatikana katika sajili ya bodi ya uchaguzi
Features Politics

Takriban Wakenya 250,000 waliofariki wapatikana katika sajili ya bodi ya uchaguzi

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Takriban wapiga kura nusu milioni zaidi walipatikana kuwa wamejisajili mara mbili na zaidi ya watu 226,000 walisajiliwa kwa kutumia stakabadhi ambazo si zao.

Thailand, nchi ya kwanza ya Asia kuhalalisha bangi
Asia Features Lifestyle & Health

Thailand, nchi ya kwanza ya Asia kuhalalisha bangi

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Wizara ya afya ya umma ilitangaza Februari kwamba bangi itaondolewa kwenye orodha ya mihadarati iliyopigwa marufuku, sheria hizo zilianza kutekelezwa Alhamisi.

Bondia wa Afrika Kusini afariki dunia kutokana na jeraha la ubongo
Africa Sports

Bondia wa Afrika Kusini afariki dunia kutokana na jeraha la ubongo

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Bondia wa uzani mwepesi Simiso Buthelezi, 24, alifariki dunia baada ya kuvuja damu kwenye ubongo kufuatia pambano lililofanyika mwishoni mwa juma mjini Durban

Wanajihadi waua 23 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Africa Features

Wanajihadi waua 23 kaskazini mashariki mwa Nigeria

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Machafuko ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009, kulingana na UN.

Watoto wanaokufa wanaakisi hali mbaya ya ukame nchini Somalia
Africa Features Lifestyle & Health

Watoto wanaokufa wanaakisi hali mbaya ya ukame nchini Somalia

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Mvua ilipokosa kunyesha kwa msimu wa nne mfululizo mwezi uliopita, mashirika ya misaada ya UN walionya kuwa njaa huenda ikakumba nchi za Somalia, Kenya na Ethiopia

Kenya: “Hatutafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi” Waziri wa Usalama wa Ndani
East Africa Features Politics

Kenya: “Hatutafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi” Waziri wa Usalama wa Ndani

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i alisisitiza msimamo huo alipokuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa warsha ya mikakati ya Kitaifa ya usalama wa mtandao 2022-2026.

Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023
Africa Features People Politics

Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Zaidi ya wajumbe 2,300 wa APC walipiga kura kumchagua mgombea atakayekabiliana na Atiku Abubakar wa chama cha upinzani cha Peoples Democratic Party (PDP) katika kura ya urais ya Februari 25 2023

Upinzani Uganda umekashifu ununuzi wa limos kwa maafisa wa serikali huku mfumuko wa bei ukiendelea kuongezeka
East Africa Features Politics

Upinzani Uganda umekashifu ununuzi wa limos kwa maafisa wa serikali huku mfumuko wa bei ukiendelea kuongezeka

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Ununuzi wa shilingi bilioni 2.4 (dola 640,000) wa gari mbili za limousine kwa spika wa bunge na naibu wake umechochea hasira ya umma

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo