• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Nigeria imethibitisha visa 21 vya ugonjwa wa Monkeypox tangu Januari
Africa Features Lifestyle & Health

Nigeria imethibitisha visa 21 vya ugonjwa wa Monkeypox tangu Januari

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Kituo cha Kudhibiti Magonjwa cha Nigeria (NCDC) kilisema kufikia Jumapili visa 66 vinavyoshukiwa kuwa vya Monkeypox vimeripotiwa katika majimbo tisa kati ya 36 nchini humo na katika mji mkuu Abuja.

Nigeria: Upinzani umemtaja aliyekuwa Makamu wa Rais kuwa mgombea wa uchaguzi wa 2023
Africa Features People Politics

Nigeria: Upinzani umemtaja aliyekuwa Makamu wa Rais kuwa mgombea wa uchaguzi wa 2023

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Atiku Abubakar, mwenye umri wa miaka 75, Muislamu wa kaskazini na mwanasiasa wa chama cha People’s Democratic Party au PDP, amewania mara kadhaa tiketi ya urais wa nchi hiyo

Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo
Africa East Africa Features

Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Mzozo wa kidiplomasia kati ya majirani hao wawili unaongezeka, huku pande zote mbili zikishutumiana kusaidia wanamgambo wenye silaha katika eneo la Goma

Sudan yaondoa hali ya hatari iliyowekwa tangu mapinduzi ya mwaka jana
Africa Features People Politics

Sudan yaondoa hali ya hatari iliyowekwa tangu mapinduzi ya mwaka jana

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Sudan imekuwa ikikabiliwa na machafuko yanayozidi kuongezeka tangu Burhan aongoze mapinduzi mnamo Oktoba 25

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel
Features Middle East

Uchunguzi wa Wapalestina wabainisha kuwa mwandishi wa habari ‘aliuawa’ na mwanajeshi wa Israel

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Mamlaka ya Palestina (PA) na Al Jazeera wameshutumu vikosi vya Israeli kwa kumuua Shireen Abu Akleh mnamo Mei 11 alipokuwa akiripoti operesheni ya Israeli katika mji wa Jenin, Ukingo wa Magharibi.

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao
Africa Features Politics

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria
Africa Features Politics

Wagombea wakuu wanaowania urais Nigeria

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Nigeria itakwenda uchaguzini Februari 2023 kumchagua mrithi wa Rais Muhammadu Buhari ambaye ataondoka uongozini baada ya kuhudumu kwa mihula miwili.

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso
Africa Features Politics

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11
Africa Features

Waziri wa afya wa Senegal afutwa kazi baada ya ajali ya moto hospitalini kusababisha vifo vya watoto wachanga 11

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall amemfuta kazi waziri wake wa afya siku ya Alhamisi nchi hiyo ikiomboleza kifo cha watoto 11 katika moto uliosababishwa na hitilafu ya umeme hospitalini

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd
Features International Politics

Biden atia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi kwenye kumbukumbu ya mwaka wa pili wa kifo cha George Floyd

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Rais Joe Biden ameadhimisha kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya George Floyd kwa kutia saini agizo kuu la kutunga mageuzi katika idara ya polisi

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo