• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

DR Congo: Mvutano waongezeka kabla ya uchaguzi wa rais
Africa East Africa Features People Politics

DR Congo: Mvutano waongezeka kabla ya uchaguzi wa rais

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Uchaguzi wa 2018 ulikuwa na makabidhiano ya kwanza ya amani ya mamlaka tangu nchi hiyo ipate uhuru kutoka kwa Ubelgiji mwaka 1960.

Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Africa Features Politics

Wanajihadi waua 30 kaskazini mashariki mwa Nigeria

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Kulingana na UN mapigano ya wanajihadi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 40,000 na wengine milioni mbili kuyahama makazi yao kaskazini-mashariki tangu 2009.

Ghana: Wafanyabiashara wa ngono waongeza bei baada ya mgogogro wa kiuchumi kuathiri nchi
Africa Features Lifestyle & Health

Ghana: Wafanyabiashara wa ngono waongeza bei baada ya mgogogro wa kiuchumi kuathiri nchi

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Hadi hivi majuzi, wengi wao wanasema walikuwa wakitoza dola 7 kwa kikao kifupi kinachochukua kati ya dakika 15-20 na dola 40 kwa usiku mzima.

Mafuriko mapya yakumba Afrika Kusini
Africa Environment Features Nature

Mafuriko mapya yakumba Afrika Kusini

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.

Mkuu wa Umoja wa Afrika atangaza ziara mjini Moscow, Kyiv
Africa Features People Politics

Mkuu wa Umoja wa Afrika atangaza ziara mjini Moscow, Kyiv

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall alisema atasafiri hadi Urusi na Ukraine hivi karibuni kwa niaba ya Umoja wa Afrika,kama rais wa muungano huo.

Mawakili wa serikali ya Congo wagoma baada ya miaka 7 bila malipo
Africa East Africa Features

Mawakili wa serikali ya Congo wagoma baada ya miaka 7 bila malipo

Maureen MedzaMay 23, 2022May 23, 2022

Mawakili wa serikali katika Jamhuri ya Congo wameamua kuacha kuiwakilisha serikali mahakamani baada ya kutopokea malipo kwa miaka saba

Kenya: Wizara ya Afya yaonya kuhusu matumizi mabaya ya dawa ya kutuliza maumivu
East Africa Features Lifestyle & Health

Kenya: Wizara ya Afya yaonya kuhusu matumizi mabaya ya dawa ya kutuliza maumivu

Maureen MedzaMay 20, 2022May 20, 2022

Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa, Mei 20, bodi hiyo ilibainisha kuwa umma ulikuwa ukitumia kupita kiasi Dawa ya Diclofenac, Steroidal Anti-Inflammatory (NSAID) kwa ajili ya kudhibiti maumivu.

IMF yaongezea Somalia muda wa ufadhili kufuatia uchaguzi
Africa Features People Politics

IMF yaongezea Somalia muda wa ufadhili kufuatia uchaguzi

Maureen MedzaMay 20, 2022May 20, 2022

Mohamud, aliwahi kuwa rais kati ya 2012 na 2017, ameahidi kulibadilisha taifa hilo lililokumbwa na machafuko kuwa nchi ya amani

Wanaotafuta hifadhi Uingereza kuwasili Rwanda katika wiki chache zijazo
Africa East Africa Europe Features

Wanaotafuta hifadhi Uingereza kuwasili Rwanda katika wiki chache zijazo

Maureen MedzaMay 20, 2022May 20, 2022

makubaliano yanayoiwezesha Uingereza kutuma wahamiaji na wanaotafuta hifadhi Rwanda yamevutia ukosoaji mkali kutoka kwa makundi ya kutetea haki za binadamu, upinzani katika nchi zote mbili na hata Umoja wa Mataifa.

Equatorial Guinea: Makumi ya wasichana waugua baada ya kupokea chanjo
Africa Features Gender Lifestyle & Health

Equatorial Guinea: Makumi ya wasichana waugua baada ya kupokea chanjo

Maureen MedzaMay 20, 2022May 20, 2022

Kulingana na mamlaka ya afya, kati ya wasichana 7,000 waliochanjwa nchini Equatorial Guinea wakati wa Wiki ya Chanjo kwa Afrika ni asilimia 1.4 tu wameathirika.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo