• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea Afrika Kusini imefikia 300
Africa Features

Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko mabaya zaidi kuwahi kutokea Afrika Kusini imefikia 300

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

Mvua kubwa zaidi kuwahi kunyesha katika miaka 60 iliikumba manispaa ya Durban, inayojulikana kama eThekwini.

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika
Features Politics

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

Wakati Uchaguzi Mkuu unapokaribia, vyama vya siasa vinaharakisha kukamilisha mchujo wa vyama vyao kabla muda wa makataa Aprili 22,2022

“Uhaba wa mafuta utaisha ndani ya saa 72” Waziri wa Nishati Kenya, Monica Juma
East Africa Features

“Uhaba wa mafuta utaisha ndani ya saa 72” Waziri wa Nishati Kenya, Monica Juma

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

“Tatizo la mafuta linaloendelea litakwisha ndani ya saa 72” Monica Juma

Chanjo ya homa ya uti wa mgongo hulinda dhidi ya kisonono: Kulingana na utafiti
Features International Lifestyle & Health

Chanjo ya homa ya uti wa mgongo hulinda dhidi ya kisonono: Kulingana na utafiti

Maureen MedzaApril 13, 2022April 13, 2022

Chanjo iliyopo ya homa ya uti inatoa kinga dhidi ya kisonono, tafiti tatu zilisema

Takriban watu 60 wafariki katika mafuriko Afrika Kusini
Africa Features

Takriban watu 60 wafariki katika mafuriko Afrika Kusini

Maureen MedzaApril 13, 2022April 13, 2022

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo baada ya mvua kunyesha katika mji wa bandari wa…

Kampuni ya Urusi yafunga mgodi mkubwa wa dhahabu wa Burkina kwa sababu za kiusalama
Africa Business / Finance Europe Features

Kampuni ya Urusi yafunga mgodi mkubwa wa dhahabu wa Burkina kwa sababu za kiusalama

Maureen MedzaApril 13, 2022

Kaskazini mwa Burkina Faso ni kitovu cha mashambulizi ya wapiganaji wa Kiislamu waliovuka mpaka kutoka nchi jirani ya Mali mwaka wa 2015

Mamilioni ya Wasomali wapo katika hatari ya njaa: Mashirika ya Umoja wa Mataifa
Africa Features

Mamilioni ya Wasomali wapo katika hatari ya njaa: Mashirika ya Umoja wa Mataifa

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Wasomali milioni sita au asilimia 40 ya watu sasa wanakabiliwa na viwango vya juu vya uhaba wa chakula, kulingana na ripoti mpya ya Integrated Food Security Phase Classification

Osinachi Nwachukwu alifanyiwa ukatili wa kijinsia na mumewe kabla ya kifo chake – mwimbaji anadai
Africa Entertainment Features Gender People

Osinachi Nwachukwu alifanyiwa ukatili wa kijinsia na mumewe kabla ya kifo chake – mwimbaji anadai

Maureen MedzaApril 12, 2022April 13, 2022

Msanii mwenzake, Frank Edwards, alidai kwamba mwimbaji huyo alikuwa na mume mkatili ambaye alimpiga mara kwa mara kabla ya kifo chake.

Zelensky aomba kuhutubia Umoja wa Afrika
Africa Europe Features People

Zelensky aomba kuhutubia Umoja wa Afrika

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameomba kuhutubia Umoja wa Afrika, Rais wa Senegal Macky Sall alisema Jumatatu. Sall, mwenyekiti wa…

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili nchini DR Congo: Msalaba Mwekundu
Africa East Africa Features Politics

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili nchini DR Congo: Msalaba Mwekundu

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Waasi wa ADF, ambao wanafungamana na kundi la Islamic State kama mshirika wake wa Afrika ya kati, wamehusika na ghasia kali dhidi ya raia — mara nyingi kwa mapanga na silaha nyinginezo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo