• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Misri: Mahakama inataka hukumu ya kifo cha mwanamume kuonyeshwa mbashara kwenye televisheni
Africa Features Gender

Misri: Mahakama inataka hukumu ya kifo cha mwanamume kuonyeshwa mbashara kwenye televisheni

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Mohamed Adel alipatikana na hatia mwezi uliopita kwa ‘mauaji ya kukusudia’ ya Nayera Ashraf, mwanafunzi mwenzake wa chuo kikuu ambaye alikataa kuwa katika uhusiano nae.

HRW: Waasi wa M23 wamewaua raia 29 nchini DR Congo tangu katikati ya Juni
Africa East Africa Features Politics

HRW: Waasi wa M23 wamewaua raia 29 nchini DR Congo tangu katikati ya Juni

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Kundi la M23 ‘March 23 Movement’ lilipata umaarufu wakati liliteka kwa muda mji wa Goma mashariki mwa Congo mwaka 2012 kabla ya kufurushwa katika mashambulizi ya pamoja ya Umoja wa Mataifa na Congo.

Kenya:  Watu 33 wafariki baada ya basi kutumbukia mtoni
Kenya

Kenya: Watu 33 wafariki baada ya basi kutumbukia mtoni

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 2, 2024

Ajali hiyo ilitokea Jumapili jioni wakati basi hilo lilikuwa likisafiri kutoka Meru kuelekea Mombasa.

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais
Features People Politics

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.

Mamilioni ya watu wakabiliana na njaa lakini ukame hauzingatiwi huku Kenya ikijiandaa kwa uchaguzi
Kenya

Mamilioni ya watu wakabiliana na njaa lakini ukame hauzingatiwi huku Kenya ikijiandaa kwa uchaguzi

Maureen MedzaJuly 22, 2022July 2, 2024

Takriban watu milioni 18 katika Pembe ya Afrika wanakabiliwa na njaa kali huku ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40 ukiathiri eneo hilo

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi
Features People Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi

Maureen MedzaJuly 22, 2022July 22, 2022

Tume Huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) imelaani kukamatwa kwa maafisa watatu kutoka kwa kampuni inayosambaza mifumo ya kielektroniki ya kupigia kura kwa uchaguzi wa mwezi ujao.

Kenya: Wanaotafuta kazi mawindo rahisi kwa walaghai mtandaoni
East Africa Features

Kenya: Wanaotafuta kazi mawindo rahisi kwa walaghai mtandaoni

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Matangazo mengi ya nafasi za ajira zina dalili zinazofanana: zina makataa mafupi, huahidi mishahara mikubwa na mara nyingi hujumuisha kiungo kwenye jukwaa la nje la mtandao linaloomba maelezo ya kibinafsi.

Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi ajiuzulu
Europe Features People Politics

Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi ajiuzulu

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Kujiuzulu kwa Draghi kumekuja baada ya vyama kadhaa muhimu katika muungano wake  vuguvugu lenye nguvu la 5-Star, chama kikubwa zaidi katika serikali ya mseto ya nchi hiyo, kususia kura ya imani

Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa
Asia Features People Politics

Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo

Polisi wa Malawi wawakamata watu 76 baada ya maandamano ya siku nzima
Africa Features Politics

Polisi wa Malawi wawakamata watu 76 baada ya maandamano ya siku nzima

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Polisi na waandamanaji walikabiliana katika vitongoji vya Area 36, ​​Area 23 na Falls Estate baada ya waandamanaji kufunga barabara kuu kwa matairi ya moto.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo