Rigobert Song kuteuliwa kuwa kocha wa Cameroon kwa amri ya rais wa taifa hilo
Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.
Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.
“Nimeridhika kwamba kuna msingi mzuri wa kuamini kwamba uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu umefanywa nchini Ukraine” tangu 2014, Karim khan
Ujumbe wa Urusi katika Umoja wa Mataifa una takriban wafanyikazi 100, kulingana na chanzo cha kidiplomasia cha Urusi.
Vikwazo vya kiuchumi pia vinajumuisha kufungia mali ya benki na ya watu binafsi bila kujumuisha benki fulani za Kirusi kutoka kwa interbank SWIFT na udhibiti wa mauzo ya nje.
Waafrika nchini Ukraine, wengi wao wakiwa wanafunzi, ni miongoni mwa mamia ya maelfu ya watu wanaojaribu kukimbilia Poland na mataifa mengine jirani.
Historia na utamaduni wa Urusi na Ukraine unafanana- wanashiriki dini moja ya Kikristo ya Orthodox, na lugha zao, mila na vyakula vya kitaifa vinafanana.
Shirika la UN la kuhudumia wakimbizi UNHCR limesema takriban wahamiaji 1,300 walitoweka au kufa maji mwaka jana katika bahari ya Mediterania.
Madagascar hukabiliwa na dhoruba nyingi na vimbunga kati ya Novemba na Aprili kila mwaka.
Kulingana na taarifa ya Pentagon, jeshi la Urusi halijafikia malengo ambayo lilikuwa limejiwekea kabla ya kuvuka mpaka na kuingia Ukraine.
Moscow ina hazina kubwa zaidi ya silaha za nyuklia na hifadhi kubwa ya makombora ya balestiki