• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Waziri wa zamani wa Morocco ahukumiwa kifungo baada ya video yake ya ‘uzinzi’ kusambaa mitandaoni
Africa Gender People Politics

Waziri wa zamani wa Morocco ahukumiwa kifungo baada ya video yake ya ‘uzinzi’ kusambaa mitandaoni

Maureen MedzaFebruary 24, 2022February 24, 2022

video inadaiwa kumuonyesha Zaine akiwa katika hali tata na mwanamke aliyeolewa kwenye chumba cha hoteli.

Kimbunga Emnati chatua Madagascar
Africa East Africa Features Nature

Kimbunga Emnati chatua Madagascar

Maureen MedzaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Madagascar hukabiliwa na dhoruba na vimbunga vingi kati ya Novemba na Aprili kila mwaka.

Amerika yaiwekea vikwazo Urusi kwa ‘kuanza’ kuivamia Ukraine
Europe Features International People Politics

Amerika yaiwekea vikwazo Urusi kwa ‘kuanza’ kuivamia Ukraine

Maureen MedzaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Baraza la juu la Urusi, lilimpa Putin idhini kwa kauli moja ya kupeleka ‘walinda amani’ katika mikoa miwili iliyojitenga ya Donetsk na Lugansk

Raia 18 wanahofiwa kuuawa karibu na mpaka wa Niger na Mali
Africa Features Politics

Raia 18 wanahofiwa kuuawa karibu na mpaka wa Niger na Mali

Maureen MedzaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Niger Imekabiliana na makundi kama vile Islamic State in the Greater Sahara (ISGS) upande wa magharibi, pamoja na Boko Haram na Islamic State West Africa Province (ISWAP) kusini mashariki

Baada ya kushinda  AFCON, Senegal yazindua uwanja wa michezo wa hadhi ya kimataifa
Africa Features Football People

Baada ya kushinda  AFCON, Senegal yazindua uwanja wa michezo wa hadhi ya kimataifa

Maureen MedzaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Uwanja huo umepewa jina la rais wa zamani Abdoulaye Wade, utakuwa ndio uwanja pekee nchini Senegal ulioidhinishwa kwa soka ya kimataifa.

Kenya: Tume ya IEBC yaahirisha usikilizwaji wa kesi ya mwanasiasa Sabina Chege
East Africa Features People Politics

Kenya: Tume ya IEBC yaahirisha usikilizwaji wa kesi ya mwanasiasa Sabina Chege

Maureen MedzaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Wakili Amollo alisema kuwa mteja wake ni mgonjwa na amelazwa katika Hospitali ya Nairobi ambako amekuwa akipokea matibabu

Pele kusalia hospitalini kutokana na maambukizi ya njia ya mkojo
Football International Lifestyle & Health People Sports

Pele kusalia hospitalini kutokana na maambukizi ya njia ya mkojo

Maureen MedzaFebruary 22, 2022February 22, 2022

Pele mwenye umri wa miaka 81 alilazwa katika hospitali ya Albert Einstein mnamo Feb 13

Burkina Faso: Mlipuko wa mgodi wa dhahabu waua watu 55
Africa Business / Finance

Burkina Faso: Mlipuko wa mgodi wa dhahabu waua watu 55

Maureen MedzaFebruary 22, 2022February 22, 2022

Mlipuko ulitokea katika hifadhi ya baruti

Tovuti ya serikali ya Msumbiji yadukuliwa
Africa Politics

Tovuti ya serikali ya Msumbiji yadukuliwa

Maureen MedzaFebruary 22, 2022February 22, 2022

kurasa za wavuti za serikali zimebadilishwa na kuwekwa picha zinazohusiana na wanajihadi.

Kenya: Mfanyabiashara na mwanasiasa Stanley Livondo afika mbele ya DCI
East Africa Features People Politics

Kenya: Mfanyabiashara na mwanasiasa Stanley Livondo afika mbele ya DCI

Maureen MedzaFebruary 22, 2022February 22, 2022

Mfanyabiashara Stanley Livondo, amesisitiza madai ya kuwepo kwa njama ya mauaji dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo