• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Amnesty: Waasi wa Tigray waliwabaka wanawake na wasichana katika vita
Africa Gender Lifestyle & Health Politics

Amnesty: Waasi wa Tigray waliwabaka wanawake na wasichana katika vita

Maureen MedzaFebruary 16, 2022February 16, 2022

“Mmoja wao alinibaka uani na mwingine alimbaka mama yangu ndani ya nyumba,” mwathiriwa

Uganda: Uzinzi Sio Uhalifu, Polisi wasema
Africa East Africa

Uganda: Uzinzi Sio Uhalifu, Polisi wasema

Maureen MedzaFebruary 16, 2022February 16, 2022

Mnamo 2007, Mahakama ya Kikatiba iliamua kwamba uzinzi haikuwa tena kosa la jinai nchini Uganda baada ya kuifuta kutoka kwa Kanuni ya Adhabu.

Kenya: Raila Odinga azindua wimbo wake wa kampeini ‘Leo ni Leo’
East Africa People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua wimbo wake wa kampeini ‘Leo ni Leo’

Maureen MedzaFebruary 15, 2022February 15, 2022

Si mara ya kwanza kwa Raila Odiga kutumia nyimbo kupamba kampeni zake za urais.

Kenya: Vyama vya kisiasa na miungano ya kisiasa
East Africa Features People Politics

Kenya: Vyama vya kisiasa na miungano ya kisiasa

Maureen MedzaFebruary 15, 2022February 15, 2022

Makubaliano ya kisiasa yamekuwa ya kawaida miongoni mwa wanasiasa katika kipindi chote cha baada ya ukoloni.

Zimbabwe: Shule zafungwa baada ya walimu 135,000 kusimamishwa kazi.
Africa People

Zimbabwe: Shule zafungwa baada ya walimu 135,000 kusimamishwa kazi.

Maureen MedzaFebruary 15, 2022February 15, 2022

Wakati wa utawala wa Mugabe, Zimbabwe ilijivunia kuwa miongoni mwa nchi zenye viwango vya juu vya elimu barani Afrika.

Msumbiji yaondoa kitabu kinachofunza kuhusu ngono kutoka kwa mtaala wao.
Africa Lifestyle & Health

Msumbiji yaondoa kitabu kinachofunza kuhusu ngono kutoka kwa mtaala wao.

Maureen MedzaFebruary 14, 2022February 14, 2022

Kitabu hicho cha sayansi ya asili kinazungumzia masuala kama vile kupiga punyeto na mwelekeo wa kijinsia.

Maelfu waandamana Burundi baada ya vikwazo kuondolewa
Africa People Politics

Maelfu waandamana Burundi baada ya vikwazo kuondolewa

Maureen MedzaFebruary 14, 2022February 14, 2022

Umoja wa Ulaya na Amerika ziliweka vikwazo kutokana na ghasia zilizogharimu maisha ya Warundi 1,200 na kupelekea 400,000 kuikimbia nchi hiyo

Mkinichagua kuwa rais nitahalalisha bangi na kupunguza siku rasmi za kufanya kazi; Muaniaji urais Kenya
Features People Politics

Mkinichagua kuwa rais nitahalalisha bangi na kupunguza siku rasmi za kufanya kazi; Muaniaji urais Kenya

Maureen MedzaFebruary 14, 2022February 15, 2022

Kulingana na Wajackoyah, uuzaji wa bangi katika masoko ya nje kutasaidia kupunguza madeni ya kitaifa na hivyo kupunguza mzigo wa deni na nchi ya China

Tahadhari ya UVIKO 19: Wapenzi nchini Thailand wahimizwa kuvaa barakoa wanaposhiriki kitendo cha ndoa katika siku ya Valentine
Asia Lifestyle & Health Middle East

Tahadhari ya UVIKO 19: Wapenzi nchini Thailand wahimizwa kuvaa barakoa wanaposhiriki kitendo cha ndoa katika siku ya Valentine

Maureen MedzaFebruary 12, 2022February 12, 2022

Mamlaka za afya zimeelezea wasiwasi kwamba tarehe 14 Feb inaweza kuzidisha idadi ya maambukizi ya UVIKO 19

WHO: Athari kubwa ya janga la UVIKO 19 huenda ikaisha ifikiapo katikati ya mwaka huu
Africa Features Lifestyle & Health

WHO: Athari kubwa ya janga la UVIKO 19 huenda ikaisha ifikiapo katikati ya mwaka huu

Maureen MedzaFebruary 12, 2022February 12, 2022

Idadi ya maambukizi mapya ya kila siku duniani ilipungua kwa wiki ya pili mfululizo, ikipungua kwa 17%

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo