• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Uuzaji wa tikiti za Kombe la Dunia Qatar 2022 wazinduliwa
Football International Middle East Sports

Uuzaji wa tikiti za Kombe la Dunia Qatar 2022 wazinduliwa

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

Dimba la Kombe la Dunia litaanza Novemba 21 hadi Desemba 18.

Sierra Leone yafutilia mbali msamaha kwa mganga mashuhuri aliyehukumiwa kwa kifo cha DJ.
Africa Arts & Culture People

Sierra Leone yafutilia mbali msamaha kwa mganga mashuhuri aliyehukumiwa kwa kifo cha DJ.

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

DJ Clef alipatikana akiwa amefariki, huku viungo vyake na sehemu zake za siri zikiwa hazipo.

Mnyarwanda Salima Mukansanga amekuwa mwanamke wa kwanza kuwa mwamuzi wa mechi za AFCON
Africa Football Gender People

Mnyarwanda Salima Mukansanga amekuwa mwanamke wa kwanza kuwa mwamuzi wa mechi za AFCON

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

Salima alikuwa afisa wa nne wakati Guinea ilipoishinda Malawi mnamo Januari 10 mjini Bafoussam.

Inaumaa! Ghana yabanduliwa nje ya michuano ya AFCON
Africa Football International Sports

Inaumaa! Ghana yabanduliwa nje ya michuano ya AFCON

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

Mabingwa mara nne Ghana waliondolewa kwenye AFCON baada ya kuchapwa 3-2 na Wacomoro katika Kundi C Jumanne mjini Garoua.

Shirika la Afya Duniani latangaza kuwa limetoa dozi bilioni 1 za chanjo ya UVIKO-19 kupitia mpango wa COVAX.
Features International Lifestyle & Health

Shirika la Afya Duniani latangaza kuwa limetoa dozi bilioni 1 za chanjo ya UVIKO-19 kupitia mpango wa COVAX.

Maureen MedzaJanuary 18, 2022January 18, 2022

Kufikia sasa nchi wanachama 36 wamechanja chini ya 10% ya watu wao na wanachama 88 wamechanja chini ya 40%

Morocco: Wahamiaji 43 wafa maji baada ya mashua yao kupinduka
Africa Europe Middle East

Morocco: Wahamiaji 43 wafa maji baada ya mashua yao kupinduka

Maureen MedzaJanuary 18, 2022January 18, 2022

Kulingana na Caminando Fronteras, zaidi ya wahamiaji 4,000 waliuawa au kutoweka mwaka jana wakijaribu kuelekea Uhispania,

Mahakama ya juu Kenya yasikiliza rufaa ya BBI,muswada wa kufanyia mabadiliko katiba
East Africa Features Politics

Mahakama ya juu Kenya yasikiliza rufaa ya BBI,muswada wa kufanyia mabadiliko katiba

Maureen MedzaJanuary 18, 2022January 18, 2022

Mpango huo wa BBI au Building Bridges Initiative (BBI) unalenga kubadili mfumo wa uchaguzi ambao umelaumiwa kwa ghasia za mara kwa mara

Vikosi vya usalama Sudan vyawaua waandamanaji saba katika maandamano ya kupinga mapinduzi
Africa Features Politics

Vikosi vya usalama Sudan vyawaua waandamanaji saba katika maandamano ya kupinga mapinduzi

Maureen MedzaJanuary 18, 2022January 18, 2022

Vifo hivyo saba vinafikisha 71 idadi ya waandamanaji waliouawa tangu jeshi lilipochukua madaraka Oktoba 25, likiongozwa na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan.

Mcolombia aamua kutolewa uhai hadharani chini ya sera mpya ya kusaidiwa kujitoa uhai ‘euthanasia’
Europe Lifestyle & Health

Mcolombia aamua kutolewa uhai hadharani chini ya sera mpya ya kusaidiwa kujitoa uhai ‘euthanasia’

Maureen MedzaJanuary 17, 2022January 17, 2022

Barani Ulaya ni nchi za Ubelgiji, Uholanzi, Luxemburg na Uhispania pekee ambazo zimehalalisha kujitoa uhai kwa kusaidiwa na madaktari.

Msemaji wa serikali ya Somalia ajeruhiwa katika shambulio la wanajihadi
Africa East Africa People Politics

Msemaji wa serikali ya Somalia ajeruhiwa katika shambulio la wanajihadi

Maureen MedzaJanuary 17, 2022January 17, 2022

Mashambulizi ya Jumapili, ambayo Al-Shabaab walidai kuhusika nayo, yalikuja wiki moja baada ya viongozi wa Somalia kukubaliana kumaliza uchaguzi wa bunge ifikapo Februari 25

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo