• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Rais wa zamani wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita aaga dunia
Africa People Politics

Rais wa zamani wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita aaga dunia

Maureen MedzaJanuary 17, 2022January 17, 2022

Bw. Keita, maarufu kama IBK, alikuwa rais wa Mali kutoka 2013 hadi 2020.

Utawala wa Mali waitisha maandamano dhidi ya vikwazo vilivyowekewa nchi hiyo
Africa Features People Politics

Utawala wa Mali waitisha maandamano dhidi ya vikwazo vilivyowekewa nchi hiyo

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Maandamano yakupinga vikwazo vikali vya kikanda yalitarajiwa kuanza Ijumaa huku shinikizo la kimataifa likiongezeka kuhusu kucheleweshwa kwa uchaguzi.

Korea Kusini: Mgombea urais aahidi bima ya afya kwa wanaume wanaopoteza nywele
Asia Gender Lifestyle & Health People Politics

Korea Kusini: Mgombea urais aahidi bima ya afya kwa wanaume wanaopoteza nywele

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Lee, mwanasheria wa haki za binadamu aliyegeuka kuwa mwanasiasa, alisema watu wenye matatizo ya kupoteza nywele wamebaguliwa kwa muda mrefu.

Watu 10 wauawa katika mashambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Africa East Africa Features Politics

Watu 10 wauawa katika mashambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Mnamo tarehe 30 Novemba, wanajeshi wa Uganda walijiunga na wanajeshi wa Congo katika msako mkali dhidi ya ADF katika eneo la Beni.

Watu 12 kizuizini nchini Burkina kwa njama ya ‘kuyumbisha’ taasisi za nchi
Africa Politics

Watu 12 kizuizini nchini Burkina kwa njama ya ‘kuyumbisha’ taasisi za nchi

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Nchi hiyo ya Afrika Magharibi ina historia ndefu ya mapinduzi na inapambana na waasi wa kijihadi waliotokea nchi jirani ya Mali mwaka 2015.

Ghasia katika mji wa magharibi mwa Cameroon watatiza michuano ya AFCON
Africa Football People Politics Sports

Ghasia katika mji wa magharibi mwa Cameroon watatiza michuano ya AFCON

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Makundi yenye silaha yalikuwa yameonya kabla ya kuanza kwa AFCON kwamba yanapanga kuvuruga michuano hiyo.

Video ya mwanamke akicheza yachochea mjadala wa haki za wanawake nchini Misri
Africa Arts & Culture Gender Middle East

Video ya mwanamke akicheza yachochea mjadala wa haki za wanawake nchini Misri

Maureen MedzaJanuary 13, 2022January 13, 2022

Baadhi ya wakosoaji wanamtuhumu kwa kukiuka maadili ya kihafidhina ya jamii ya Kiislamu huku wengine wakisimama kidete naye.

Fujo,mabishano kwenye Kombe la Mataifa CAN huku Mali, Gambia na Ivory Coast  zikishinda
Africa Entertainment Football People Sports

Fujo,mabishano kwenye Kombe la Mataifa CAN huku Mali, Gambia na Ivory Coast zikishinda

Maureen MedzaJanuary 13, 2022January 13, 2022

Kulikuwa na matukio ya fujo kwenye michuano ya AFCON Mali ilipoifunga Tunisia katika mchezo uliokumbwa na mabishano

Morocco: Mhadhiri kufungwa miaka miwili jela kwa kuhusika katika kashfa ya ngono
Africa Gender Middle East

Morocco: Mhadhiri kufungwa miaka miwili jela kwa kuhusika katika kashfa ya ngono

Maureen MedzaJanuary 13, 2022January 13, 2022

Unyanyasaji wa kijinsia umeenea sana Morocco lakini wanawake wanasitasita kuripoti kwa kuhofia kulipizwa kisasi au kudhuru sifa ya familia zao.

Serikali ya Nigeria yaondoa marufuku iliyowekea Twitter
Africa People Politics

Serikali ya Nigeria yaondoa marufuku iliyowekea Twitter

Maureen MedzaJanuary 13, 2022January 13, 2022

Nigeria ilisitisha shughuli za Twitter mwezi Juni baada ya Twitter kufuta ujumbe wa Rais Buhari

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo