• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yawafunga wasanii wawili kwa kumkosoa rais
Africa Arts & Culture East Africa Entertainment People Politics

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yawafunga wasanii wawili kwa kumkosoa rais

Maureen MedzaDecember 18, 2021December 18, 2021

Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya kijeshi katika gereza kuu la Goma

Shindano la Miss World 2021 laahirishwa baada ya Manasa Varanasi wa India na Wengine 16 Kukutwa na Covid
Arts & Culture Asia Entertainment International People

Shindano la Miss World 2021 laahirishwa baada ya Manasa Varanasi wa India na Wengine 16 Kukutwa na Covid

Maureen MedzaDecember 17, 2021December 17, 2021

Tangazo hilo limetolewa Alhamisi, saa chache kabla ya hafla hiyo kuanza

Israel itachangia chanjo milioni 1 za kukabiliana na UVIKO 19 kwa mpango wa COVAX.
Africa Lifestyle & Health Middle East People

Israel itachangia chanjo milioni 1 za kukabiliana na UVIKO 19 kwa mpango wa COVAX.

Maureen MedzaDecember 17, 2021December 17, 2021

“Nimefurahi kuwa Israeli inaweza kuchangia na kuwa mshirika katika kutokomeza janga hili ulimwenguni,” Waziri wa Mambo ya nje Yair Lapid alisema.

Raia wa Korea Kaskazini wamepigwa marufuku kucheka au kunywa pombe wakiadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Kim Jong Il.
Asia People

Raia wa Korea Kaskazini wamepigwa marufuku kucheka au kunywa pombe wakiadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Kim Jong Il.

Maureen MedzaDecember 17, 2021December 17, 2021

“Hata kama jamaa yako ataaga dunia wakati wa maombolezo, huruhusiwi kulia kwa sauti ya juu. Watu hawawezi hata kusherehekea siku zao za kuzaliwa ikiwa siku hiyo itakuwa ndani ya kipindi cha maombolezo.”

Chanjo na kipimo cha Covid inahitajika kwa mashabiki wa Kombe la Afrika
Africa Football Sports

Chanjo na kipimo cha Covid inahitajika kwa mashabiki wa Kombe la Afrika

Maureen MedzaDecember 17, 2021December 17, 2021

“Mashabiki hawataweza kuingia viwanjani… isipokuwa wale waliochanjwa kikamilifu na kuonyesha kipimo cha PCR

Ujumbe wa ICC kuenda nchini Sudan Kujadili Kumhamisha Al Bashir
Africa International People Politics

Ujumbe wa ICC kuenda nchini Sudan Kujadili Kumhamisha Al Bashir

Maureen MedzaDecember 15, 2021December 15, 2021

Mwezi Agosti mwaka huu, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Karim Khan, alifanya ziara yake ya kwanza nchini Sudan

Malta imekuwa nchi ya kwanza barani Ulaya kuhalalisha matumizi ya bangi
Africa Business / Finance International Lifestyle & Health

Malta imekuwa nchi ya kwanza barani Ulaya kuhalalisha matumizi ya bangi

Maureen MedzaDecember 15, 2021December 15, 2021

Uruguay ilikuwa nchi ya kwanza duniani kuhalalisha uzalishaji, usambazaji na utumizi wa bangi mwaka wa 2013.

Uingereza yaondoa vizuizi vya usafiri kwa mataifa yote ya Afrika
Africa Features International Lifestyle & Health

Uingereza yaondoa vizuizi vya usafiri kwa mataifa yote ya Afrika

Maureen MedzaDecember 15, 2021December 15, 2021

“kwa sasa kuweka vizuizi vya usafiri hakusadii kudhibiti kuenea kwa kirusi cha Omicron kutoka mataifa ya nje.” Waziri wa Afya wa Uingereza Sajid Javid

Densi ya Rumba yaorodheshwa kama turathi inayolindwa na UNESCO
Africa Arts & Culture Entertainment People

Densi ya Rumba yaorodheshwa kama turathi inayolindwa na UNESCO

Maureen MedzaDecember 15, 2021December 15, 2021

“Rumba ni utambulisho wetu! Kutambuliwa kwake kimataifa ni fahari na hazina kwetu.” alisema waziri wa utamaduni wa DRC Catherine Furaha.

Chombo cha kumsaidia mtu kujitoa uhai huenda kikaanza kuuzwa Switzerland
Business / Finance Europe Lifestyle & Health People

Chombo cha kumsaidia mtu kujitoa uhai huenda kikaanza kuuzwa Switzerland

Maureen MedzaDecember 11, 2021December 11, 2021

Kwa kubofya kitufe, chombo hicho hujaa gesi ya nitrojeni, ambayo hupunguza viwango vya oksijeni kwa haraka, na kusababisha mtumiaji wake kupoteza fahamu ndani ya dakika moja,

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo