Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yawafunga wasanii wawili kwa kumkosoa rais
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya kijeshi katika gereza kuu la Goma
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya kijeshi katika gereza kuu la Goma
Tangazo hilo limetolewa Alhamisi, saa chache kabla ya hafla hiyo kuanza
“Nimefurahi kuwa Israeli inaweza kuchangia na kuwa mshirika katika kutokomeza janga hili ulimwenguni,” Waziri wa Mambo ya nje Yair Lapid alisema.
“Hata kama jamaa yako ataaga dunia wakati wa maombolezo, huruhusiwi kulia kwa sauti ya juu. Watu hawawezi hata kusherehekea siku zao za kuzaliwa ikiwa siku hiyo itakuwa ndani ya kipindi cha maombolezo.”
“Mashabiki hawataweza kuingia viwanjani… isipokuwa wale waliochanjwa kikamilifu na kuonyesha kipimo cha PCR
Mwezi Agosti mwaka huu, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Karim Khan, alifanya ziara yake ya kwanza nchini Sudan
Uruguay ilikuwa nchi ya kwanza duniani kuhalalisha uzalishaji, usambazaji na utumizi wa bangi mwaka wa 2013.
“kwa sasa kuweka vizuizi vya usafiri hakusadii kudhibiti kuenea kwa kirusi cha Omicron kutoka mataifa ya nje.” Waziri wa Afya wa Uingereza Sajid Javid
“Rumba ni utambulisho wetu! Kutambuliwa kwake kimataifa ni fahari na hazina kwetu.” alisema waziri wa utamaduni wa DRC Catherine Furaha.
Kwa kubofya kitufe, chombo hicho hujaa gesi ya nitrojeni, ambayo hupunguza viwango vya oksijeni kwa haraka, na kusababisha mtumiaji wake kupoteza fahamu ndani ya dakika moja,