• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Wanaharakati wanataka tamasha la Koffi Olomide mjini Kigali Rwanda lipigwe marufuku.
Africa Arts & Culture East Africa Entertainment Gender Lifestyle & Health People

Wanaharakati wanataka tamasha la Koffi Olomide mjini Kigali Rwanda lipigwe marufuku.

Maureen MedzaNovember 27, 2021November 27, 2021

Mnamo 2019, Koffi alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na mahakama nchini Ufaransa baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji

Kirusi kipya cha Corona, Omicron chazua wasiwasi kote duniani
Africa Features International Lifestyle & Health

Kirusi kipya cha Corona, Omicron chazua wasiwasi kote duniani

Maureen MedzaNovember 27, 2021November 27, 2021

Kiwango cha hatari halisi ya kirusi cha Omicron bado hakijaeleweka,lakini utafiti wa awali unaonyesha kuwa kina uwezo wa kuambukiza mtu mmoja mara kadhaa

Mtu aliyesafirisha na kuuza tamthilia ya ‘Squid Game’ nchini Korea Kaskazini ahukumiwa kifo kwa kupigwa risasi
Arts & Culture Asia Entertainment Europe International Science & Tech

Mtu aliyesafirisha na kuuza tamthilia ya ‘Squid Game’ nchini Korea Kaskazini ahukumiwa kifo kwa kupigwa risasi

Maureen MedzaNovember 26, 2021November 26, 2021

Wanafunzi wengine sita wa shule ya upili ambao walitazama kipindi hicho walisemekana kuhukumiwa miaka mitano ya kazi ngumu.

Mataifa ya Uingereza, Singapore na Ujerumani yapiga marufuku wasafiri kutoka Afrika Kusini
Africa Europe International Lifestyle & Health

Mataifa ya Uingereza, Singapore na Ujerumani yapiga marufuku wasafiri kutoka Afrika Kusini

Maureen MedzaNovember 26, 2021November 26, 2021

kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529, ni kirusi hatari zaidi kuwahi kuonekana kufikia sasa na kina uwezo wa kukwepa kinga.

Kirusi kipya cha UVIKO 19 chagunduliwa Afrika Kusini
Africa Europe Lifestyle & Health

Kirusi kipya cha UVIKO 19 chagunduliwa Afrika Kusini

Maureen MedzaNovember 25, 2021November 25, 2021

Kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529 kimegunduliwa pia nchini Botswana na Hong Kong miongoni mwa wasafiri kutoka Afrika Kusini.

Rais wa zamani wa DR Congo, Joseph Kabila atuhumiwa kwa ubadhirifu wa pesa.
Africa East Africa International People Politics

Rais wa zamani wa DR Congo, Joseph Kabila atuhumiwa kwa ubadhirifu wa pesa.

Maureen MedzaNovember 25, 2021November 25, 2021

Joseph Kabila na familia yake wanatuhumiwa kunyakua $138 milioni za serikali.

Somalia: Mlipuko wa bomu mjini Mogadishu wasababisha maafa na uharibifu
Africa Features International

Somalia: Mlipuko wa bomu mjini Mogadishu wasababisha maafa na uharibifu

Maureen MedzaNovember 25, 2021November 25, 2021

Watu watano wameuawa na wengine zaidi kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu kwenye gari mjini Mogadishu siku ya Alhamisi,

Africa East Africa Gender Lifestyle & Health People Politics

Tanzania: Wanafunzi waliopata ujauzito ruksa kurudi shule

Maureen MedzaNovember 25, 2021November 25, 2021

Kwa mujibu wa Waziri Ndalichako wanafunzi watakaotaka kurejea shule wataruhusiwa kufanya hivyo ndani ya miaka miwili baada ya kuwa nje ya mfumo rasmi

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amekwenda kwenye mstari wa mbele kuongoza vita dhidi ya wapiganaji wa Tigray.
Africa Features International People Politics

Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amekwenda kwenye mstari wa mbele kuongoza vita dhidi ya wapiganaji wa Tigray.

Maureen MedzaNovember 24, 2021November 24, 2021

Wanariadha Haile Gebrselassie na Feyisa Lilesa wamesema wako tayari kwenda mstari wa mbele katika vita dhidi ya vikosi vya waasi.

Wagombea 98 wajiandikisha kuwania kiti cha urais Libya
Africa International Middle East People Politics

Wagombea 98 wajiandikisha kuwania kiti cha urais Libya

Maureen MedzaNovember 24, 2021November 24, 2021

Zaidi ya watu milioni 2.8 kati ya watu milioni saba wa Libya wamejiandikisha kupiga kura.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo