Wanaharakati wanataka tamasha la Koffi Olomide mjini Kigali Rwanda lipigwe marufuku.
Mnamo 2019, Koffi alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na mahakama nchini Ufaransa baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji
Mnamo 2019, Koffi alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na mahakama nchini Ufaransa baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji
Kiwango cha hatari halisi ya kirusi cha Omicron bado hakijaeleweka,lakini utafiti wa awali unaonyesha kuwa kina uwezo wa kuambukiza mtu mmoja mara kadhaa
Wanafunzi wengine sita wa shule ya upili ambao walitazama kipindi hicho walisemekana kuhukumiwa miaka mitano ya kazi ngumu.
kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529, ni kirusi hatari zaidi kuwahi kuonekana kufikia sasa na kina uwezo wa kukwepa kinga.
Kirusi hicho kwa jina la kisayansi B.1.1.529 kimegunduliwa pia nchini Botswana na Hong Kong miongoni mwa wasafiri kutoka Afrika Kusini.
Joseph Kabila na familia yake wanatuhumiwa kunyakua $138 milioni za serikali.
Watu watano wameuawa na wengine zaidi kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu kwenye gari mjini Mogadishu siku ya Alhamisi,
Kwa mujibu wa Waziri Ndalichako wanafunzi watakaotaka kurejea shule wataruhusiwa kufanya hivyo ndani ya miaka miwili baada ya kuwa nje ya mfumo rasmi
Wanariadha Haile Gebrselassie na Feyisa Lilesa wamesema wako tayari kwenda mstari wa mbele katika vita dhidi ya vikosi vya waasi.
Zaidi ya watu milioni 2.8 kati ya watu milioni saba wa Libya wamejiandikisha kupiga kura.