• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Our Correspondent

Ushuhuda Mjamzito Kujifungulia Njiani, Kisa Ubovu Wa Barabara Ya Mbeya – Njombe
East Africa Tanzania

Ushuhuda Mjamzito Kujifungulia Njiani, Kisa Ubovu Wa Barabara Ya Mbeya – Njombe

Our CorrespondentSeptember 26, 2024

wananchi wamesema barabara zimekuwa mbovu hasa msimu wa mvua kiasi cha kuwafanya baadhi ya wanawake kujifungulia njiani wakati wakienda kutafuta huduma za kiafya

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo
Crime & Justice Tanzania

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo

Our CorrespondentJuly 9, 2024July 9, 2024

Mshitakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.

Mtoto Mwenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) Ajeruhiwa Kwa Panga Geita
Crime & Justice East Africa

Mtoto Mwenye Ulemavu wa Ngozi (Albino) Ajeruhiwa Kwa Panga Geita

Our CorrespondentMay 7, 2024July 3, 2024

Kamanda Jongo alisema kuwa majera ya mtoto na silaha iliyokutwa eneo la tukio ni wazi aliyafanya tukio hilo hakuwa na lengo la kuondoka na kiungo chochote.

Polisi yahimiza ushirikiano na wafanyabiashara kuzuia uhalifu
Crime & Justice East Africa Tanzania

Polisi yahimiza ushirikiano na wafanyabiashara kuzuia uhalifu

Our CorrespondentMay 7, 2024July 3, 2024

Kamanda Issango amesisitiza wafanyabiashara hao kufanya kazi kidigitali kwa kuhakikisha wanafunga kamera za usalama (CCTV) kwenye maduka yao

CHADEMA Mbeya waendelea kuandaa wagombea serikali za mitaa 2024
East Africa Politics Tanzania

CHADEMA Mbeya waendelea kuandaa wagombea serikali za mitaa 2024

Our CorrespondentMay 7, 2024July 3, 2024

Lengesela pamoja na kamati yake wamefanya ziara katika Kata ya Ilungu ili kukagua uhai wa Chama pamoja na maandalizi katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa baadaye mwaka huu (2024)

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo