Mahakama Tanzania Yapiga Marufuku Urushaji ‘LIVE’ wa Ushahidi wa Mashahidi wa Siri Katika Kesi ya Lissu
Uamuzi huo umetolewa leo na mahakama hiyo baada ya upande wa mashtaka kuwasilisha hoja ukitaka kulindwa kwa usalama na utambulisho wa mashahidi wanaotarajiwa kutoa ushahidi katika kesi hiyo.