Kenya to roll out HIV prevention shots in March
Kenya will roll out a groundbreaking new HIV-prevention drug in March across 15 priority regions, the health ministry said on Wednesday.
Kenya will roll out a groundbreaking new HIV-prevention drug in March across 15 priority regions, the health ministry said on Wednesday.
Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.
Facebook and TikTok were no longer available in Gabon on Wednesday, AFP journalists said, after regulators said they were suspending social media over national security concerns amid anti-government protests.
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo
A conservative media critic picked by President Donald Trump to be US ambassador to South Africa has arrived to take up his post, the US embassy said Tuesday, with bilateral relations fractured over a range of issues.
Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia
Flooding and fierce winds have pushed Madagascar’s death toll from Cyclone Gezani to 59, with more than a dozen people still unaccounted for, the country’s disaster agency said on Monday.
Kenya Airways (KQ) warned passengers of “possible schedule adjustments, including delays” and advised them not to proceed to the airport without first confirming their flight status.
The High Court of Uganda has been petitioned in a landmark human rights case filed by 27-year-old global industrialist Vasundhara Oswal, who accuses senior security officials of arbitrary arrest, illegal detention and inhumane treatment stemming from her October 2024 incarceration.