Jenerali Mabeyo: Kulikuwa na ugumu wa kumuapisha rais mwingine baada ya kifo cha Magufuli
Hata hivyo anakiri kwamba kulikuwa na ugumu uliosababisha kuchukua saa 48 kabla ya rais mwingine hajaapishwa jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya Tanzania, hali iliyotokana na pande mbili kuwa kutofautiana kimaamuzi.