Sale of meat banned in Kampala – reports
Animal authorities in Uganda have reportedly banned the sale of meat in the capital, Kampala, as part of restrictions to curb an outbreak of the foot-and-mouth disease, which affects animals.
Animal authorities in Uganda have reportedly banned the sale of meat in the capital, Kampala, as part of restrictions to curb an outbreak of the foot-and-mouth disease, which affects animals.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilitangaza awamu nyingine ya maandamano yenye utofauti na awamu ya kwanza ya maandamano iliyomalizika hivi karibuni.
Wakazi saba wa Jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya mahakimu watatu tofauti wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka manne yakiwamo ya kusafirisha sukari na mafuta ya kupikia kwa magendo vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 10.7.
Wiki hii ilikuwa ni wiki ya hekaheka za vikao vya kamati kuu vya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, ambayo imeishia katika mkutano mkuu wa chama hicho ambao ulitambulisha safu ya viongozi wapya ikiwa ni sehehmu ya kupokezana kijiti kama ambavyo Katiba yao inawataka kufanya hivyo kila inapofika miaka mitano.
A US federal appeals court dismissed a lawsuit that alleged that five major tech companies were complicit in the use of child labour to mine cobalt in the Democratic Republic of Congo.
At least six people have died and four were injured from last week’s flash floods in central Malawi, local authorities said.
Guinness World Records (GWR) has dismissed a Ghanaian chef’s attempt to break the world record for the longest cooking marathon by an individual, her team says.
Somalia sasa imekuwa mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) baada ya kukamilisha hatua zote zilizohitajika ili kuidhinishwa kuwa mwanachama wa jumuiya hiyo ya kikanda.
A university student has been killed and another seriously injured by stray bullets as gunmen shot dead two men in a parked car on a busy street near the centre of the South African city of Johannesburg, police say.
Ali Hassan Mwinyi maarufu Mzee Rukhsa alikuwa rais wa awamu ya pili ncini Tanzania aliyehudumu madarakani kwa miaka 10 kutoka mwaka 1985 mpaka 1995.