• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Africa

Watuhumiwa wa ubakaji wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa wadakwa
Africa East Africa

Watuhumiwa wa ubakaji wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu Iringa wadakwa

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa watano wa unyang’anyi kwa kutumia silaha ambao kati yao wawili wametambuliwa kuhusika katika tukio la ubakaji alilofanyiwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa (jina linahifadhiwa) wakati wakifanya uharifu chuoni hapo.

Amnesty International :Polisi walitumia nguvu zaidi kuwaondoa wamaasai Loliondo
Africa East Africa

Amnesty International :Polisi walitumia nguvu zaidi kuwaondoa wamaasai Loliondo

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Ripoti ya shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International imeituhumu mamlaka nchini Tanzania kwa kutumia nguvu kupita kiasi pamoja na kuwazuilia jamii ya wamaasai wakati wakiwatimua katika eneo la Loliondo. 

Dkt Mollel:Asilimia 70 ya mapato ya vituo vya afya inategemea NHIF
Africa East Africa

Dkt Mollel:Asilimia 70 ya mapato ya vituo vya afya inategemea NHIF

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Naibu Waziri wa Afya nchini Tanzania Dkt. Godwin Mollel amesema , asilimia 70 ya Mapato ya vituo vya huduma za Afya vya Serikali pamoja na binafsi vinategemea Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) ili kuendesha vituo hivyo.

Biashara ya ngono yaongezeka kwa wakimbizi wa ndani DRC
Africa East Africa

Biashara ya ngono yaongezeka kwa wakimbizi wa ndani DRC

Asia GambaJune 6, 2023June 6, 2023

Taarifa iliyotolewa jana na shirika hilo kutoka Geneva Uswisi imesema ukosefu wa amani huko mashariki mwa DRC umesababisha watu kuwa na hali mbaya ya kimaisha na ukiukaji wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na unyanyasaji wa kijinsia, unaowakabiliwa zaidi ya wakimbizi wa ndani milioni 6.2.

Ujumbe wa amani wa Afrika katika vita vya Ukraine kuanza katikati ya Juni
Africa International War & Conflicts

Ujumbe wa amani wa Afrika katika vita vya Ukraine kuanza katikati ya Juni

Joy CheptooJune 6, 2023July 2, 2024

Ujumbe huo uliozinduliwa na Ramaphosa mwezi uliopita unajumuisha marais wa Jamhuri ya Kongo, Misri, Senegal, Afrika Kusini, Uganda na Zambia.

World’s oldest-known burial site found in S.Africa: scientists
Africa Arts & Culture

World’s oldest-known burial site found in S.Africa: scientists

Mwanzo EditorJune 5, 2023June 5, 2023

The oldest burials previously unearthed, found in the Middle East and Africa, contained the remains of Homo sapiens — and were around 100,000 years old

Kikundi cha densi cha Uganda, Ghetto Kids kimeshindwa kufika fainali ya Britain’s Got Talent
Africa East Africa Entertainment Europe People

Kikundi cha densi cha Uganda, Ghetto Kids kimeshindwa kufika fainali ya Britain’s Got Talent

Joy CheptooJune 5, 2023June 5, 2023

Kundi hilo la watoto sita wana umri wa kati ya miaka sita na 13, na walitoka katika jamii maskini katika mji mkuu wa Kampala

Mbowe, Lissu, Mnyika kuelekea Italia kwa ziara ya kikazi
Africa East Africa

Mbowe, Lissu, Mnyika kuelekea Italia kwa ziara ya kikazi

Asia GambaJune 5, 2023June 5, 2023

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema imeeleza kuwa katika safari hiyo, Mbowe ameambatana na viongozi wengine wawili wa chama hicho, ambao ni Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu na Katibu Mkuu, John Mnyika.

Al-Shabaab waliwaua wanajeshi 54 wa Uganda nchini Somalia, anasema Museveni
Africa East Africa People Politics

Al-Shabaab waliwaua wanajeshi 54 wa Uganda nchini Somalia, anasema Museveni

Joy CheptooJune 5, 2023June 5, 2023

Kundi hilo lenye silaha lilidai kuwa lilifanya mashambulizi ya bomu la kujitoa mhanga mnamo Mei 26 na kuua wanajeshi 137

What we know: Senegal violence
Africa Politics

What we know: Senegal violence

Mwanzo EditorJune 2, 2023July 2, 2024

Violence erupted in Senegal on Thursday, killing nine people after opposition politician Ousmane Sonko was sentenced to two years in prison

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy