• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Africa

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku
Africa East Africa

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Ikiwa leo ni siku ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani shirika la Umoja wa Mataifa  la afya duniani WHO, limezitaka nchi kuacha kutoa ruzuku kwa kilimo cha tumbaku na badala yake kuunga mkono na kusaidia kilimo cha mazao endelevu yatakayoweza kulisha mamilioni ya watu wenye uhitaji wa chakula.

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi
Africa East Africa

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Zaidi ya wakimbizi 200,000 walioko nchini Tanzania wataanza kupokea nusu mgao wa chakula wanachopatiwa kutokana na ukata unaokabili shirika la…

Ahukumiwa miaka saba jela kwa kumuambukiza Ukimwi  kwa makusudi mtoto wake wakufikia
Africa East Africa

Ahukumiwa miaka saba jela kwa kumuambukiza Ukimwi  kwa makusudi mtoto wake wakufikia

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoani Mara imemuhukumu kwenda jela miaka saba Msirari Muhere (60) mkazi wa Wilaya ya Tarime baada…

Kenya inasema tukio la uwanja wa ndege lilikuwa ni zoezi la dharura
Africa East Africa

Kenya inasema tukio la uwanja wa ndege lilikuwa ni zoezi la dharura

Joy CheptooMay 31, 2023May 31, 2023

Lengo la msingi la zoezi hilo lilikuwa kupima na kutathmini ufanisi wa taratibu za kukabiliana na dharura za uwanja wa ndege

Nigerians rush to buy fuel ahead of subsidy removal
Africa Business / Finance People

Nigerians rush to buy fuel ahead of subsidy removal

Mwanzo EditorMay 30, 2023May 30, 2023

On Monday, 71-year-old Tinubu triggered a wave of panic when he declared that the “fuel subsidy is gone” after taking the helm of Africa’s most populous nation.

Ousmane Sonko, Senegal’s fiery opposition leader
Africa People Politics

Ousmane Sonko, Senegal’s fiery opposition leader

Mwanzo EditorMay 30, 2023May 30, 2023

The 48-year-old has fired up the country’s disaffected young, portraying them, and himself, as victims of the “state mafia.”

Sheria ya kupinga ushoga sasa ni rasmi nchini Uganda
Africa East Africa

Sheria ya kupinga ushoga sasa ni rasmi nchini Uganda

Asia GambaMay 29, 2023May 29, 2023

Rais wa Uganda Yoweri Museveni leo amesaini Muswada wa Sheria  wenye utata dhidi ya mashoga, ofisi yake na bunge la nchi hiyo zilisema, ikianzisha hatua kali dhidi ya ushoga ambazo zimetajwa kuwa miongoni mwa sheria kali zaidi duniani.

Somalia to introduce direct universal suffrage in 2024
Africa People Politics

Somalia to introduce direct universal suffrage in 2024

Mwanzo EditorMay 28, 2023May 28, 2023

The move follows a pledge by President Hassan Sheikh Mohamud in March to end a complex indirect system in place since 1969.

‘Tired’ Pope Francis has fever, clears his schedule
Africa Europe International People

‘Tired’ Pope Francis has fever, clears his schedule

Mwanzo EditorMay 26, 2023May 26, 2023

Pope Francis, who has been the leader of the world’s 1.3 billion Catholics for a decade, has suffered increasing health issues over the past year

Huge security challenges await Nigeria’s new president
Africa People Politics

Huge security challenges await Nigeria’s new president

Mwanzo EditorMay 26, 2023May 26, 2023

Many Nigerians are hoping that the new government will put an end to years of grave human rights abuses reportedly committed by security forces across the country.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy