Half world’s largest lakes and reservoirs drying up: study
Unlike rivers, which have tended to hog scientific attention, lakes aren’t well monitored, despite their critical importance for water security
Unlike rivers, which have tended to hog scientific attention, lakes aren’t well monitored, despite their critical importance for water security
ChatGPT’s powers are already available on smartphones, through Microsoft’s Bing search app, which uses technology from OpenAI
Nchi za Afrika zimeathiriwa vibaya na kupanda kwa bei ya nafaka na athari kwa biashara ya dunia.
Endapo mpango huo utakuwa dhahiri, Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za Afrika zilizofanikiwa kupeleka kifaa hicho angani, ambazo ni Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, Afrika Kusini, Morocco, Misri, Ghana na Nigeria, huku Rwanda ikikusudia kufanya hivyo mwishoni mwa mwaka huu.
Waziri wa Afya nchini Tanzania Ummy Mwalimu amesema takwimu hizi zinaonesha kwamba wagonjwa hao wenye shinikizo la damu wameonekana kuongezeka takribani mara mbili zaidi kwa kipindi cha miaka mitano.
Russian President Vladimir Putin and Ukrainian President Volodymyr Zelensky have “agreed to receive the mission and the African heads of state- South African President Cyril Ramaphosa said
Ushoga ni kinyume cha sheria nchini Namibia chini ya sheria ya ulawiti iliyotekelezwa mwaka wa 1927 wakati wake chini ya utawala wa Afrika Kusini
For the past month, Sudan has been rocked by deadly battles between de facto leader Burhan and his former deputy, RSF commander Mohamed Hamdan Daglo, also known as Hemeti.
Taarifa hiyo ya daktari inakuja kipindi ambacho kumekuwepo na taarifa za uvumi katika mitandao ya kijamii kuhusu chanzo cha kifo chake.
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe unatarajiwa kuhifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele Mei 16, mwaka huu katika kijiji cha Londo mkoani Lindi.