Kirusi kipya cha UVIKO 19,Omicron kilikuwepo Ulaya hata kabla Afrika Kusini kuripoti kisa cha kwanza
Kirusi kipya Omicron kilikuwepo Ulaya kabla kisa cha kwanza kuripotiwa Afrika Kusini, data mpya imethibitisha
Kirusi kipya Omicron kilikuwepo Ulaya kabla kisa cha kwanza kuripotiwa Afrika Kusini, data mpya imethibitisha
China inawekeza zaidi barani Afrika kuliko mataifa mengine ya Ulaya na ni mshirika mkubwa zaidi wa kibiashara wa Afrika
Wanafunzi wengine sita wa shule ya upili ambao walitazama kipindi hicho walisemekana kuhukumiwa miaka mitano ya kazi ngumu.
Kuhasiwa kwa kemikali, hufanywa nchini Poland, Korea Kusini, Jamhuri ya Czech na baadhi ya majimbo ya Amerika.
Maisha ya wanafunzi hutegemea sana alama watakazopata katika mtihani huu wa Suneung kutoka chuo kikuu watakachosomea, hadi kazi watakazofanya, mshahara watakaopokea na hata uhusiano wa kimapenzi wa baadae
Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.
Kwa kawaida katika mataifa mengi duniani, ndoa zilizozoeleka ni ndoa kati ya mume mmoja ma mke mmoja. Katika tamaduni ya…
Kisa kama cha Lina kinafahamika kama ‘precocious puberty’ ikimaanisha kuwa mtoto huanza kubalehe mapema kabla umri wa kawaida wa miaka 8 kwa wasichana na miaka 9 kwa wavulana.
Si rahisi kwa waNauru kubadili mtindo wao wa maisha kwasababu unene unaonekana kama ishara ya utajiri.
Taifa la pili kwa udogo duniani, Monaco ina katiba fupi zaidi duniani. Katiba ya Monaco ilipitishwa mwaka wa 1911.