• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Crime & Justice

Mshukiwa aliyekiri kuua wanawake 42 kuzuiliwa siku 30
Crime & Justice Kenya

Mshukiwa aliyekiri kuua wanawake 42 kuzuiliwa siku 30

Kevin SeweJuly 16, 2024August 7, 2024

Mshukiwa mkuu wa mauaji na kutupa miili katika eneo la taka la Kware huko Embakasi Nairobi amezuiliwa kwa siku 30…

Anger as mutilated bodies of 9 people found in Nairobi dumpsite
Crime & Justice Kenya

Anger as mutilated bodies of 9 people found in Nairobi dumpsite

Kevin SeweJuly 12, 2024August 7, 2024

Kenyan police said they have launched an investigation after the mutilated bodies of six women were found on Friday in…

Kenya Inspector General of police resigns after deadly protests
Crime & Justice Kenya

Kenya Inspector General of police resigns after deadly protests

Kevin SeweJuly 12, 2024August 7, 2024

Kenya’s police chief has quit following criticism over dozens of deaths during anti-government protests, the latest head to roll as…

Fukuto ndani ya TLS lazidi kuongezeka, Mawakili waamua kuishtaki
Crime & Justice Tanzania

Fukuto ndani ya TLS lazidi kuongezeka, Mawakili waamua kuishtaki

Asia GambaJuly 11, 2024

Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Ziwa, Steven Kitale amefungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi…

Amng’oa meno mkewe kisa shilingi 200
Crime & Justice Tanzania

Amng’oa meno mkewe kisa shilingi 200

Asia GambaJuly 10, 2024July 15, 2024

Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma, Musa Abdallah kwa tuhuma za kumn’goa meno matatu mke wake kwa kutumia Praizi kwa kile kilichoelezwa ni ugomvi wa Sh. 200.

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo
Crime & Justice Tanzania

Aliyekuwa RC Simiyu apandishwa kizimbani kujibu shtaka la kumlawiti mwanafunzi wa chuo

Our CorrespondentJuly 9, 2024July 9, 2024

Mshitakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi
Crime & Justice Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo
Crime & Justice Tanzania

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa,  na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.
Crime & Justice Tanzania

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.

Asia GambaJuly 8, 2024

Kijana Shadrack Chaula amelipa fedha hizo baada ya kuchangwa na wanaharakati na wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini.

Jaji Mkuu aonya vitendo vya utovu wa maadili kwa mawakili
Crime & Justice East Africa Tanzania

Jaji Mkuu aonya vitendo vya utovu wa maadili kwa mawakili

Asia GambaJuly 3, 2024July 3, 2024

Prof. Juma ametoa wito huo leo tarehe 3 Julai, 2024 baada ya kuwakubali na kuwapokea Mawakili wa Kujitegemea 555 kwenye hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy