Mshukiwa aliyekiri kuua wanawake 42 kuzuiliwa siku 30
Mshukiwa mkuu wa mauaji na kutupa miili katika eneo la taka la Kware huko Embakasi Nairobi amezuiliwa kwa siku 30…
Mshukiwa mkuu wa mauaji na kutupa miili katika eneo la taka la Kware huko Embakasi Nairobi amezuiliwa kwa siku 30…
Kenyan police said they have launched an investigation after the mutilated bodies of six women were found on Friday in…
Kenya’s police chief has quit following criticism over dozens of deaths during anti-government protests, the latest head to roll as…
Mwenyekiti wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Ziwa, Steven Kitale amefungua shauri la mapitio ya kimahakama dhidi…
Jeshi la Polisi mkoani Mara linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyakatende wilayani Musoma, Musa Abdallah kwa tuhuma za kumn’goa meno matatu mke wake kwa kutumia Praizi kwa kile kilichoelezwa ni ugomvi wa Sh. 200.
Mshitakiwa huyo amefikishwa katika mahakama hiyo mapema leo Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka hilo ambalo anadaiwa kulitenda Juni 2, 2024 katika eneo hilo kinyume na kifungu cha sheria cha 154 kifungu kidogo (a) cha kanuni ya adhabu sura ya 16 marejeo ya mwaka 2022.
Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.
Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa, na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.
Kijana Shadrack Chaula amelipa fedha hizo baada ya kuchangwa na wanaharakati na wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini.
Prof. Juma ametoa wito huo leo tarehe 3 Julai, 2024 baada ya kuwakubali na kuwapokea Mawakili wa Kujitegemea 555 kwenye hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.